UZALENDO WA WATANZANIA KWA TIMU YETU YA SERENGETI BOYS

TRUTH gasper

Member
Joined
Mar 27, 2017
Posts
64
Reaction score
82
Nimefurah sana kuona watanzania tuko pamoja katika kuishangilia timu yetu ya under 17, na ndio timu amabayo nina iman itatunyanyua katika miaka ijayo na kutupaisha kimataifa. Timu ya taifa stars sidhani kama itaweza kufanya maajabu zaid ya hapo ilipofikia ukizingatia wachezaji ni wale wale miaka yote na umri wao umeenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…