Giovanna Upunda
Member
- Aug 11, 2024
- 54
- 24
Uzalishaji wa vyakula vya mifugo vilivyosindikwa viwandani umeongezeka kutoka tani 900,000 mwaka 2020 hadi tani 1,880,000 mwaka 2024.
Aidha, ongezeko hili limetokana na Serikali kuendelea kuhamasisha na kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji kwa Sekta Binafsi ili kukabili ongezeko la mahitaji ya vyakula vya mifugo.
Vilevile, viwanda vipya 51 vya kuzalisha vyakula vya mifugo vimesajiliwa katika Mikoa nane (8) ya Arusha (9), Kilimanjaro (3), Dar es Salaam (16), Morogoro (4), Mwanza (1), Katavi (1), Dodoma (1), Iringa (3), Mbeya (1), Pwani (10) na Shinyanga (2) na kufanya viwanda vya kuzalisha vyakula vya mifugo kuongezeka kutoka 199 mwaka 2020 kufikia 250 mwaka 2025.
Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store
Aidha, ongezeko hili limetokana na Serikali kuendelea kuhamasisha na kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji kwa Sekta Binafsi ili kukabili ongezeko la mahitaji ya vyakula vya mifugo.
Vilevile, viwanda vipya 51 vya kuzalisha vyakula vya mifugo vimesajiliwa katika Mikoa nane (8) ya Arusha (9), Kilimanjaro (3), Dar es Salaam (16), Morogoro (4), Mwanza (1), Katavi (1), Dodoma (1), Iringa (3), Mbeya (1), Pwani (10) na Shinyanga (2) na kufanya viwanda vya kuzalisha vyakula vya mifugo kuongezeka kutoka 199 mwaka 2020 kufikia 250 mwaka 2025.
Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store