Hahaa Mapenzi upofu etii... sorry for your dear ex๐คฃMarudio hapa niko live sikosi nayacheki namuona dear ex kichwa maji kaiba zile pesa kwenda kwa zweli..
Huyu demu sijui kimemkuta nini zweli alaumiwe kwa kumuharibu ๐
Ana bahati baba yake gangster otherwise ningekuwa namdunda mangumi kila siku kama mke wangu og mama kimbo. ๐Hahaa Mapenzi upofu etii... sorry for your dear ex๐คฃ
๐ ๐ jamani kwani mama kimbo yuko ka huyu kichwa panzi tenaAna bahati baba yake gangster otherwise ningekuwa namdunda mangumi kila siku kama mke wangu og mama kimbo. ๐
Mama kimbo shida yake ana mdomo sana lakini huyu kichwa panzi ni duka la ushirika au pombe ya ngomani, kila mtu anajichotea.. ๐๐ ๐ jamani kwani mama kimbo yuko ka huyu kichwa panzi tena
๐คฃ๐คฃ๐คฃ Kwaiyo unataka kutangaza vitaee ngoja tuone..Mama kimbo shida yake ana mdomo sana lakini huyu kichwa panzi ni duka la ushirika au pombe ya ngomani, kila mtu anajichotea.. ๐
Sasa nimechoka nataka dhlomo ajue tu mie ndo spare taili jamni ๐
Mwisho wa siku mshindi atatangazwa kanisani kwa pastor mdletshe ooh sorry pastor xulu jr ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ Kwaiyo unataka kutangaza vitaee ngoja tuone..
๐ ๐ hakikaa... kwa xulu jr mojaa๐Mwisho wa siku mshindi atatangazwa kanisani kwa pastor mdletshe ooh sorry pastor xulu jr ๐
Hamna kampa pigo heavy mpk kapagawaMarudio hapa niko live sikosi nayacheki namuona dear ex kichwa maji kaiba zile pesa kwenda kwa zweli..
Huyu demu sijui kimemkuta nini zweli alaumiwe kwa kumuharibu [emoji3]
Wee kulikuwa na prata kbl ya thabangHivi jamani hawa wasouth tamthilia nyingi zao tunazofatilia lazima wachomekee mambo ya mapunga ili tuone kawaida?
Sasa hapa gc wanamuaga kwenda kwa mpenzi wake kwahiyo gc ni mke hii scene iinanichefua sana..
Kule isidingo alikuwepo yule thabang, lakini sio kama gc hadi anajiremba Pooh!
Marudio nimeyaona wakati wa search warrant mangcobo kajichanganya sana yaani xulu vithibitisho akivyokutwa navyo ni Vingi lakini jamaa sioni nafasi ya yeye kwenda jela, Ila zweli anaweza kamatika kirahisi kwa alichofanya ni ujinga
Kwanza dhlomo anaweza kumfungulia mashtaka zweli kwa kukimbia kinyume na makubaliano maana ana kesi nyingi kwenye kitabu kile..
Pia mxo ndio anasikitisha sana huyu kukamatwa inaweza kuwa rahisi zaidi maana kazoea easy money...
Nilikuwepo..
Sana inahuzunishaMrs Zulu yupo under arrest,
Wananchi na CPF wamechachamaa wanataka kumuua zulu,
Zweli na dada yake wakefanikiwa kutoroka,
Nosi tumbo linamuuma sana katoa mimba,
Imebidi mxo na Zulu wakimbilie kanisani huko wakamkuta ayanda na mama yake,,,,,ayanda akatoa bastola anataka ampige zulu, zulu ndo anamwambia yeye ni Baba yake ayanda haamini mama yake anamwambia ni kweli. Polisi wanatokea wanamkamata zulu na mxo (hii part nimesikitika[emoji19]). Then imeishia hapo.
safi sana kwa update nimepata kituMrs Zulu yupo under arrest,
Wananchi na CPF wamechachamaa wanataka kumuua zulu,
Zweli na dada yake wakefanikiwa kutoroka,
Nosi tumbo linamuuma sana katoa mimba,
Imebidi mxo na Zulu wakimbilie kanisani huko wakamkuta ayanda na mama yake,,,,,ayanda akatoa bastola anataka ampige zulu, zulu ndo anamwambia yeye ni Baba yake ayanda haamini mama yake anamwambia ni kweli. Polisi wanatokea wanamkamata zulu na mxo (hii part nimesikitika[emoji19]). Then imeishia hapo.
Kama jela tumeumbiwa binadamu wote๐คฃ๐คฃnakuonea huruma sanaa
๐ ๐ sawa ka umekubali kwenda jela no problemKama jela tumeumbiwa binadamu wote
Wee nipe tu mama dhlomo ๐๐
huyu bata Vera ginger sasa ole wake anikumbushie habari za nosi maana nimechoka kutaniwa..๐ ๐ sawa ka umekubali kwenda jela no problem
๐๐sawa sawa uagize kabisa๐huyu bata Vera ginger sasa ole wake anikumbushie habari za nosi maana nimechoka kutaniwa..
Any way nitakusbiri pale kwa sis D ๐๐
lakini si umwambie baba chanja wako atuwezeshe si unajua mie dume suruali๐๐sawa sawa uagize kabisa๐