Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Dah last week sjacheki mkuuKama kuna sehemu nilisema nampenda nosi niiteni mbwa.
Mafian cartel Vera ginger Jagiya na wengjneo mambo ni vipi humu kwetu kwamashu?
Naona mwanangu mxo atajipatia demu mtoto wa nkunzi easy..
Wanatupunja sanaMwenzenu huwa nasahau kila siku
Najikuta lbd jumatano ndio naiona
Bora wangeweka week nzima basi
Hahahaha usitake niongeeKama kuna sehemu nilisema nampenda nosi niiteni mbwa.
Mafian cartel Vera ginger Jagiya na wengjneo mambo ni vipi humu kwetu kwamashu?
Naona mwanangu mxo atajipatia demu mtoto wa nkunzi easy..
Kwani GC Ana shida gani wakuu?Kuna kipindi ITV ilishambuliwa sana kwa uhusika wa GC! Nahisi ni moja ya sababu ya kubadiliaha muda...
Shoga.Kwani GC Ana shida gani wakuu?
Bwabwa lileKwani GC Ana shida gani wakuu?
Eeeh mmenitoa tongotongoShoga.
GC(gay character)Eeeh mmenitoa tongotongo
Kwani n mwanaume Yule?
Au ni mwanamke ambaye Ana swaga za kiume?
marudio ni saa ngap maana tangu ilivobadilishwa mda toka saa moja na nusu imenichenga kabisaJana nimeikosa! Na nikachelewa marudio leo asubuhi!
Marudio huwa saa 11 asubuhimarudio ni saa ngap maana tangu ilivobadilishwa mda toka saa moja na nusu imenichenga kabisa
Huyo bheki yumo kwenye series ya jua kali ya hapa bongoBheki ndo yule jamaa anayemtongoza manzuza
Pastor melusi ndo yule mume wa manzuza
Bado haujaachwa sana[emoji28]
yaan amos nampa tano twanga uyo nosi mtoto alijifanya anajua dunia huyu nkunzi anafaidi sana ndoa ile nyieHahahaa ustake
Hahahaha usitake niongee
Hahaa naona unafurahi kuona nosi anateseka... ivi mahusiano yake na mondli yaliishia wapi?yaan amos nampa tano twanga uyo nosi mtoto alijifanya anajua dunia huyu nkunzi anafaidi sana ndoa ile nyie
ukiangalia uje basi utujuze
Dah na mimi nimepotea nina kama wiki tatu sijaangalia
sawa dearukiangalia uje basi utujuze
Duh aya ngoja nisubiri jmos marudio nitaleta mrejeshoDah na mimi nimepotea nina kama wiki tatu sijaangalia