π π na kweliXulu anakwambia Chuck Norris ππ
Ni mtata balaa..nnamashaka na ujio wake kwa xuluNaona kaka wa Xulu ndio mafia zaidi
Kampa mbata ya haja Ayanda[emoji2]
ayanda kajifanya mnoko likamuweka moja tu kaenda kukandwa na mama yakeNaona kaka wa Xulu ndio mafia zaidi
Kampa mbata ya haja Ayanda[emoji2]
Hahhaa halafu nahisi huyu ndio alikuwa anampigia xulu simu wkt yupo jelaayanda kajifanya mnoko likamuweka moja tu kaenda kukandwa na mama yake
Hili jamaa na kaka ake inaonekana haziivi.
Ujio wake sio kbsNi mtata balaa..nnamashaka na ujio wake kwa xulu
apo uhasama lazimaUjio wake sio kbs
eeeh ndio huyu siku ile kwa simu alikuwa anaita brother..Hahhaa halafu nahisi huyu ndio alikuwa anampigia xulu simu wkt yupo jela
Halafu kama anammendea shemeji yake
eeh vipi xulu na kaka yake?Katika mazoezi ya kwaya mama mchungaji apendekeza itafutwe sauti ya kiume ambayo itakuwa ikiimbwa pamoja na sauti ya Nombuso katika kuongoza kwaya,GC ajitokeza na kujipendekeza yeye ana sauti nzuri na kujaribu kuimba lakini anakataliwa.
Inaelekea chanzo cha kufungwa ni wizi wa magari ambapo pesa mr xulu alichukuaNdogo lake na xulu linataka 50 50 aisee .
Nombuso anaoneka wazi anampenda mxolisi na Ayanda hana chake pale jamaa alifanya kosa kubwa akimuacha Nkule.Naskia mxo kampiga denda nombuso?
Mkontho inaonesha ametokea kukapenda kasister kake na Mastermind japo hajakaaimbia pia Xulu alimwambia mkontho akamuue mtoto wa mchungaji hospitalini akakataa sasa Xulu ana-mfremu ndugu yake kwa mara ya pili ili arudi gerezaniNa vipi mkontho ana mpya gani?