Uzazi kwa njia ya operation (Ushauri)

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2009
Posts
6,158
Reaction score
4,449
Wakuu naomba ushauri, nina mtoto wa mwaka mmoja na miezi Miwili na mipango yetu ni kuwa na watoto wawili tuu Mungu akipenda, na tulipendelea wasipishane sana umri, ili tumalize mambo ya uzazi tuendelee na mambo ya ulezi na Shughuli nyingine. lakini kwa bahati nzuri au mbaya huyu first born wetu alipatikana kwa njia ya operation, je kiafya kwa umri huu wa mtoto yaani miezi 14 ni sahihi kwa mama yake kushika ujauzito mwingine???. Nishaurini kistaarabu ushauri wenu nitaufanyia maamuzi.
 
Kijana ni kwa nini msisubiri hata miaka miwili iishe??, huyo first born wenu anyonyi??
 
Binafsi ningeshauri msubiri afikishe mi angalau miaka miwili ndio mtafute mwingine.

Na kuhusu kuzaa kwa operation inategemea na kilichosababisha. . . kama ujauzito wake wa kwanza ulikua na complications amwone daktari kwa ushauri kabla ya kushika mwingine.
 
Kwanza kwann alijifungua kwa operation?kwa utaalamu zaidi anatakiwa akae at least 4 two yrs,ili ile scar ya kwenye uterus i heel vzur,and to avoid other complication!
 
Kwanza kwann alijifungua kwa operation?kwa utaalamu zaidi anatakiwa akae at least 4 two yrs,ili ile scar ya kwenye uterus i heel vzur,and to avoid other complication!
mukuu wangu! hapo kwenye red hujasomeka!
 
Ishu ni kwamba mtoto alikaa vibaya asingeweza kutoka kwa njia ya kawaida.
 
Kwanza kwann alijifungua kwa operation?kwa utaalamu zaidi anatakiwa akae at least 4 two yrs,ili ile scar ya kwenye uterus i heel vzur,and to avoid other complication!

Rejea post number 8
 
Kuwa na subira. Miaka 4 kwa uterus scar ipone vizuri. Na kama mtoto alikaa vibaya, kwa nini hakuonekana mapema na kufanyiwa ECI? Ni hatari kupata mimba za juu kwa juu hasa kwa mwanamke alliye fanyiwa CS. Poleni sana na muwe na subira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…