uzazi kwa operation na kujamiiana

uzazi kwa operation na kujamiiana

gracious86

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
437
Reaction score
54
wapendwa,hivi kama mwanamke amejifungua kwa operation,anaruhusiwa kujamiiana baada ya muda gani? Coz,kuna mshono tumboni, na hata kama mshono utakuwa umepona,kutabaki na kovu! Je,hii haitaathiri ktk kufanya mapenzi? Au mshono ukipona,inaruhusiwa? Help..
 
Back
Top Bottom