Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kawaida hedhi ni kula baada ya siku 28, sasa ovulation hutokea siku ya 13/14 ya mzunguko ya hedhi.
kupanga mtoto kwa kuzingatia siku hiyo haipo.
pia siku ya 9 - 18 ya mzunguko ndio mzuri kwa mwanamke kupata mimba.
kijamiiana wakati mwanamke yupo katika siku zake sio vizuri na sio ustaatabu. Anaweza pata maumivu. Hakuna madhara makubwa ila ni kujielewa tu maana anatokwa na hedhi halafu mtu anakandamiza mashine sio vizuri.... ni swala la kuzingatia tu utu wa mtu.