ati?umesemaje nyau?Niwe na Rose kama bibi wa wajukuu zangu.:laugh::laugh::laugh::behindsofa:.
Nimiona ktk mji flani nilipoenda kuangalia Live band ilokuwa ukipiga zilipendwa...
Wazee, hasa wa kiume walikuwa wakicheza twist, wakiimba pamoja na wanamziki, wakifurahia haswaa.. walikuwa wakisindkizwa kucheza na totoz wareembo kabisa ktka cheza yao.
Binafsi niliona waliufurahia uzee wao.. wakwa wameshatimiza mengi maishani mwao.
JE..KAMA UKIFANIKIWA KUUONA UZEE..UNGEPENDA MAISHA YAKO YA UZEE YAWEJE?:thinking:?
ati?umesemaje nyau?
mi nimekwambia fanya ufanyalo uwe paka mweupe tu basiiiiiiiiii umenipata
mi uo weusi wako unantisha jaman
wengne wanataka mapesa+magari sjui maninin bt mi kwako nataka rangi tu yan only colour so plssssssssss mak t ili niwe bib wa wajukuu zako!!!!!!
so u mean m bibi material?
ilike t ma grandpaa mama anakusubiri !!!!!!!!
asante mpzNimekusikia mama shaka ondoa ombi lako nalifanyia kazi nimeshaagiza mkorogo speciali kwa kazi hiyo nipe wiki moja tu nitakuwa paka mweupe.
Mhh.. Hiyo ni sawa na tumbili kujisugua uso ili awe mweupe...:smile-big::smile-big:ati?umesemaje nyau?
mi nimekwambia fanya ufanyalo uwe paka mweupe tu basiiiiiiiiii umenipata
mi uo weusi wako unantisha jaman
wengne wanataka mapesa+magari sjui maninin bt mi kwako nataka rangi tu yan only colour so plssssssssss mak t ili niwe bib wa wajukuu zako!!!!!!
so u mean m bibi material?
ilike t ma grandpaa mama anakusubiri !!!!!!!!
Kutulia na kuwasimulia wajukuu hadithi!