Uzembe wa January Makamba umesababisha sasa Migodi kuvujisha sumu maeneo mengi hapa nchini

Uzembe wa January Makamba umesababisha sasa Migodi kuvujisha sumu maeneo mengi hapa nchini

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Mh Waziri Mkuu nashangaa sana kusikia ukilalama siku ya Mazingira duniani huko Dodoma na kutupia mpira wananchi eti wao ndio wapambane kudhibiti utililishaji wa maji ya sumu toka kwenye migodi. Hii ni ngumu sana.

Chanzo na tatizo ni January alipokuwa ofisi ya Makamu wa rais Mazingira. Hapa ndipo wenye migodi midogo walifanya yao. Na hata usimamizi ukawa wa hovyo.

Sasa hivi karibu maeneo mengi kanda ya Ziwa ni sumu tu. Migodi midogo inatirisha Cynide mpaka kwenye vyoo vya wananchi.

Kila wizara anayogusa husu jamaa anaharibu tu. Sasa unasukumizia mpira wananchi kivipi? Mwananchi atamdhibiti vipi mwenye mgodi?

January ni zigo la kifisadi mlilokaa nalo hapo wanaCCM.
👇
Mwananchi › kitaifa
Majaliwa ataka maji migodini yadhibitiwe - Mwananchi
 
Mh Waziri mkuu nashangaa sana kusikia ukilalama siku ya Mazingira duniani huko Dodoma na kutupia mpira wananchi eti wao ndio wapaambane kudhibiti utilioishaji wa maji ya sumu toka kwenye migodi. Hii ni ngumu sana.

Chanzo na tatizo ni January alipokuwa ofisi ya Makamu wa rais Mazingira. Hapa ndipo wenye migodi midogo walifanya yao. Na hata usimamizi ukawa wa hovyo. Sasa hivi karibub maeneo mengi kanda ya Ziwa ni sumu tu. Migodi midogo inatirisha Cynide mpaka kwenye vyoo vya wananchi.

Kila wizara anayogusa husu jamaa anaharibu tu. Sasa unasukukizia mpira wananchi kivipi? Mwananchi atamzibiti vipi mwenye mgodi?

January ni zigo la kifisadi mlimlokaa nalo hapon wanaCCM.
[emoji116]
Mwananchi › kitaifa
Majaliwa ataka maji migodini yadhibitiwe - Mwananchi
Hii chuki yako kwa January haitaondoa umasikini wako wa mali na akili
 
Chanzo na tatizo ni January alipokuwa ofisi ya Makamu wa rais Mazingira. Hapa ndipo wenye migodi midogo walifanya yao. Na hata usimamizi ukawa wa hovyo. Sasa hivi karibu maeneo mengi kanda ya Ziwa ni sumu tu. Migodi midogo inatiririsha Cynide mpaka kwenye vyoo vya wananchi.
 
Chanzo na tatizo ni January alipokuwa ofisi ya Makamu wa rais Mazingira. Hapa ndipo wenye migodi midogo walifanya yao. Na hata usimamizi ukawa wa hovyo. Sasa hivi karibub maeneo mengi kanda ya Ziwa ni sumu tu. Migodi midogo inatirisha Cynide mpaka kwenye vyoo vya wananchi.

Makamba alitumbuliwa lini uwaziri? Imepita miaka mingapi? Si mnasema mwendazake alikuwa hana mzaha hayo yaliyokeaje? Chuki inatakiwa iendane na reasoning ili walau upate supporters. Asante kwa kuinukuu chuki. Mleta uzi ni "mpina" sana
 
Chanzo na tatizo ni January alipokuwa ofisi ya Makamu wa rais Mazingira. Hapa ndipo wenye migodi midogo walifanya yao. Na hata usimamizi ukawa wa hovyo. Sasa hivi karibu maeneo mengi kanda ya Ziwa ni sumu tu. Migodi midogo inatiririsha Cynide mpaka kwenye vyoo vya wananchi.
Hafai huyu jamaa kabisa
 
Makamba alitumbuliwa lini uwaziri? Imepita miaka mingapi? Si mnasema mwendazake alikuwa hana mzaha hayo yaliyokeaje? Chuki inatakiwa iendane na reasoning ili walau upate supporters. Asante kwa kuinukuu chuki. Mleta uzi ni "mpina" sana
Wewe huwezi kujua. Makamba hafai kabisa.
 
Hivi kwa nini watu wanamsagia sana kunguni January Makamba? Aliwakisea nini? Au wanamuona ni tishio kwa masilahi yao?
 
Back
Top Bottom