Elections 2010 Uzembe wa mawakala kuwaponza wapinzani

Hivi msimamizi wa kituo ana uwezo wa kuanzisha zoezi la kupiga kura bila ya kuwepo mawakala?

Anaweza kinacho takiwa kuwajulisha wapiga kura.Kituo moja nilikopigia kura msimamizi alipoona muda umefika na wasimamizi hawajafika aliendelea na zoezi kwa kuleta nje mabozi ya kuhifadhia kura na kutujulisha kuwa zoezi linaanza pamoja na kwamba mawakala hawajafika,na baada ya kama 25minutes mawakala wa chama fulani wakashushwa na daladala.
 

CHADEMA wawe makini na mawakala wao...
 
Plz Plz, wagombea CHADEMA piteni vituoni kukumbusha mawakala majukumu yao...
 
Chadema popote mlipo . Viongozi jamani tusaidieni haya yasiendeleee?
 
kama hawapo matokeo atasaini nani? Lakini upande mwingine utajuaje huyu ni Chadema au Cuf maana hawajavaa beji
 

Hii info itakua useful kama utatoa details zaidi juu ya hayo unayoyasema kama namba za hayo magari
 
Kwa kweli hili suala laweza kutuangusha mwaka huu. Hata kama unajitolea hupaswi kupita kwenye majukumu mengine siku ya muhimu kama hii.
 
Kwani hamujui kua hizo kura chache mulizozipata ktk serikali za mitaa ni kwa kuepo mawakala wa cuf. Ndio mujue kua hamuna chama kwama mwataka chama ingieni cuf au endeleeni kufuata mkumbo.
 
CHADEMA acheni masihara inakuwaje mawakala wanamiss ata kama hamjasimamisha mgombea ubunge sasa Slaa atapaje kura
Chamsingi naomba mtaje kituo pls so that we can work on that.
Jamani saa ya ukombozi imefika TUSILALE
 
Na mimisikumwona wakalaa mwingine zaidi ya yule wa ccm. inaniuma sana. Naogopa kuanika hapa ni kituo kipi, mafisadi wanaweza kuwabeep ili wajifanyie sherehe hapo kituoni kiulaini. inaniuma!
 
SWALA LA MAWAKALA ni SHIDA KIDOGO KWAKWELI!

i am dissappointed!


Don't be disappointed man. Ubungo yote kuna mawakala mimi mwenyewe nafahamiana na jamaa walio karibu na Mnyika na nilitoa mchango wangu 100K na kumwomba wamweleze Mnyika kuwa niko tayari kuwa wakala (for free) na wakanieleza kuwa tayari walikuwa na mawakala katika vituo vyote.

VOTE FOR CHANGE, VOTE FOR DR SLAA!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…