Uzembe wa NECTA ndio sababu ya vijana wengi kuonekana wamefeli

Uzembe wa NECTA ndio sababu ya vijana wengi kuonekana wamefeli

Danniair

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
360
Reaction score
66
Ukitembelea tovuti ya Necta utakutana na tamko la Matokeo ya kidato cha 6 -2012.
Bila Waislamu kushtuka ina maana hawa watoto ndo ilikuwa imetoka. Natoa pongezi kwa
kikundi hicho cha Waislamu waliofanya ushujaa wa kwenda kuwakabili Necta.

Binafsi, nashauri zile shule ambazo zina wanafunzi mahiri lakini mwisho wa Necta, wanafunzi hao
hutokea wamefeli zifanyiwe utaratibu (kuanzia Necta hii), ili walimu wao waende huko Necta kuangalia
ni vipi watoto hao wamefeli.

Nasema hivi kwani mtindo wa sasa wa Necta kupokea Tsh.20,000/= za kukata rufaa kisha kutoa matokeo
yanayosomeka, "Haikubadilika"; kwa Tz yetu ya sasa (mf. ni utendaji mbovu ktk taasisi za
serikali na ukali tunaousikia wa Madame Mkurugenzi wa Necta, wa kutotaka kukosolewa) inaleta sura mbili;-
1. Watoto wetu wamegeuzwa chumo.
2. Inapunguza morali wa walimu wetu kwani necta haifundishi mashuleni na inamchango mdogo
kabisa ktk darasa. vitabu vyao havijitosherezi kabisa. Hawana hata maabara moja ya mfano tu.
 
wale wezi, pale napo panatakiwa kusafishwa pote. kawambwa asipotaka kuwawajibisha yeye ndo ajiuzulu
 
Sababu waliyotoa bado sijaielewa! Tuna hakika gani hawafanyi makosa kama hayo kwa masomo mengine?

Na mbona F zimeongezeka badala ya kupungua!
 
RPRESSIslamicstudiesFinal1.pdf

Tamko la Serikali hili hapa.
 

Attachments

Sababu waliyotoa bado sijaielewa! Tuna hakika gani hawafanyi makosa kama hayo kwa masomo mengine?

Na mbona F zimeongezeka badala ya kupungua!

swali lako ni zuri, lakini swali hilohilo waulize wanailaumu NECTA kuwa inawafelisha, maana hata baada ya kufanya hicho kiichofanyika hakuna better perfomance.
 
swali lako ni zuri, lakini swali hilohilo waulize wanailaumu NECTA kuwa inawafelisha, maana hata baada ya kufanya hicho kiichofanyika hakuna better perfomance.
Yachunguzwe na masomo mengine tuone kama kutakuwa hakuna better perfomance!.....this is a challenge!
 
Ukitembelea tovuti ya Necta utakutana na tamko la Matokeo ya kidato cha 6 -2012.
Bila Waislamu kushtuka ina maana hawa watoto ndo ilikuwa imetoka. Natoa pongezi kwa
kikundi hicho cha Waislamu waliofanya ushujaa wa kwenda kuwakabili Necta.

Binafsi, nashauri zile shule ambazo zina wanafunzi mahiri lakini mwisho wa Necta, wanafunzi hao
hutokea wamefeli zifanyiwe utaratibu (kuanzia Necta hii), ili walimu wao waende huko Necta kuangalia
ni vipi watoto hao wamefeli.

Nasema hivi kwani mtindo wa sasa wa Necta kupokea Tsh.20,000/= za kukata rufaa kisha kutoa matokeo
yanayosomeka, "Haikubadilika"; kwa Tz yetu ya sasa (mf. ni utendaji mbovu ktk taasisi za
serikali na ukali tunaousikia wa Madame Mkurugenzi wa Necta, wa kutotaka kukosolewa) inaleta sura mbili;-
1. Watoto wetu wamegeuzwa chumo.
2. Inapunguza morali wa walimu wetu kwani necta haifundishi mashuleni na inamchango mdogo
kabisa ktk darasa. vitabu vyao havijitosherezi kabisa. Hawana hata maabara moja ya mfano tu.

Hapo kwenye RED umeniacha hoooi kabisa ...sasa bado ukifeli utalalamika??
 
Yachunguzwe na masomo mengine tuone kama kutakuwa hakuna better perfomance!.....this is a challenge!

Better perfomance kwenye masomo mengine?, mbona malamiko hayaishi kuwa wanonewa/wanafelishwa?!, nilidhani utaniambia kuwa uchunguzi ufanywe pia kwenye masomo mengine yenye poor perfomance na kuwa huenda huko pia kuna dosari! Hasa zanzibar walikolalama waziwazi kuwa baraza limawaonea.
 
Let's face it. Bongo kuanzia bajeti mpaka mitihani watu wanaungaunga tu. Ndio maana wenye uwezo wanapeleka watoto wao hao wanaofelishwa bongo vyuo vya nje nao wanafanya vizuri tu.
 
Better perfomance kwenye masomo mengine?, mbona malamiko hayaishi kuwa wanonewa/wanafelishwa?!, nilidhani utaniambia kuwa uchunguzi ufanywe pia kwenye masomo mengine yenye poor perfomance na kuwa huenda huko pia kuna dosari!Hasa zanzibar walikolalama waziwazi kuwa baraza limawaonea.
Umeshapata jawabu!
 
Usinikumbushe uonevu huu wa necta walimfelisha mwanangu form 6. Nikalipa sh 60,000 baada ya kukata rufaa, majibu ati 'majibu hayakubadilika', kumbe hata hiyo mitihani hawarudii kuisahihisha jamani wizi wa mchana kabisa! Lakini swali ni hili, inakuwaje hakimu unayemlalamikia hakutoa hukumu ya haki ndo ukate rufaa kwake? Kiwepo chombo kingine mbali na necta ambacho watahiniwa wanaweza kukata rufaa.
 
Ukitembelea tovuti ya Necta utakutana na tamko la Matokeo ya kidato cha 6 -2012.
Bila Waislamu kushtuka ina maana hawa watoto ndo ilikuwa imetoka. Natoa pongezi kwa
kikundi hicho cha Waislamu waliofanya ushujaa wa kwenda kuwakabili Necta.

Binafsi, nashauri zile shule ambazo zina wanafunzi mahiri lakini mwisho wa Necta, wanafunzi hao
hutokea wamefeli zifanyiwe utaratibu (kuanzia Necta hii), ili walimu wao waende huko Necta kuangalia
ni vipi watoto hao wamefeli.

Nasema hivi kwani mtindo wa sasa wa Necta kupokea Tsh.20,000/= za kukata rufaa kisha kutoa matokeo
yanayosomeka, "Haikubadilika"; kwa Tz yetu ya sasa (mf. ni utendaji mbovu ktk taasisi za
serikali na ukali tunaousikia wa Madame Mkurugenzi wa Necta, wa kutotaka kukosolewa) inaleta sura mbili;-
1. Watoto wetu wamegeuzwa chumo.
2. Inapunguza morali wa walimu wetu kwani necta haifundishi mashuleni na inamchango mdogo
kabisa ktk darasa. vitabu vyao havijitosherezi kabisa. Hawana hata maabara moja ya mfano tu.

kuanzia mwaka huu masomo ya arts form V na VI yamebadilishwa(kwenye format ya mitihan ya NECTA),syllabus inayotumika ni mpya imeanza 2009,ajabu ni kwamba NECTA na TIE hawajatoa vitabu,pia kuanzia mwakani watu wa sayansi wataanza kufanya mitihan kwa syllabus mpya
 
Hapo kwenye RED umeniacha hoooi kabisa ...sasa bado ukifeli utalalamika??

sasa kama hakuna vitabu mtoto atasomaje????TIE wameandaa mwongozo,vitabu hawajatoa,inakuwaje????na hili kwa sasa lipo,syllabus ni mpya ila hakuna vitabu,,,,wizara,TIE NA NECTA hawajasema,,,,
 
Usinikumbushe uonevu huu wa necta walimfelisha mwanangu form 6. Nikalipa sh 60,000 baada ya kukata rufaa, majibu ati 'majibu hayakubadilika', kumbe hata hiyo mitihani hawarudii kuisahihisha jamani wizi wa mchana kabisa! Lakini swali ni hili, inakuwaje hakimu unayemlalamikia hakutoa hukumu ya haki ndo ukate rufaa kwake? Kiwepo chombo kingine mbali na necta ambacho watahiniwa wanaweza kukata rufaa.

xactly mdau
 
Kwa kweli NECTA ni waonevu wakubwa na ni mafisadi wa fedha na haki kuliko hata tunavyofikiri kwa mfano angalia watu wanarudia mitihani yao ya 4m4 ndio utapata jibu, watu wangharamikia fedha nyingi kwenye usajili lakini kwenye usahishaji unakuta wanaburuza tu bila hata kujali, ningependa hiki kilio cha wanaroduia mitihani kingepatiwa jibu na kuwa mwisho kwenye bunge hili la bajeti na tabia hiyo ya kufelisha ikome kabisa, sabau hatuwezi kuendelea na hujuma za wazi wazi na watu tumekaa kimya.
 
Back
Top Bottom