orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,947
- 4,876
Wanajamvi habari poleni na hongereni kwa majukumu,
Bila kupoteza muda nielekeze hoja yangu ya msingi kulituhumu ili shirika la umeme kutokana na shirika hili kutokua na umakini hasa kwa wateja.
Yapo matatizo mengi ila ntaelekeza hoja katika manunuzi na mfumo mzima wa luku mfano tokea jumatatu wateja wameshindwa kununua umeme na ikiwezekana basi token hazikubali kuingia kwenye mita tatizo ni kuwa mfumo wa luku haufanyi kazi bila kutoa maelezo kwamba wanategemea tatizo litashughulikiwa mda gani hoja ya msingi ni kwanini shirika kubwa kama hili lisitengeneze system zenye mmbadala kuliko kutegemea mfumo wa aina Moja ambao pia unawaingizia hasara kwa siku zote ambazo huduma imekosekana?.
Nashauri wizara Iwe na malengo mapana katika kuboresha/upgrade mifumo yote hii inayo Fanya kazi bila kuathiri wateja.
Bila kupoteza muda nielekeze hoja yangu ya msingi kulituhumu ili shirika la umeme kutokana na shirika hili kutokua na umakini hasa kwa wateja.
Yapo matatizo mengi ila ntaelekeza hoja katika manunuzi na mfumo mzima wa luku mfano tokea jumatatu wateja wameshindwa kununua umeme na ikiwezekana basi token hazikubali kuingia kwenye mita tatizo ni kuwa mfumo wa luku haufanyi kazi bila kutoa maelezo kwamba wanategemea tatizo litashughulikiwa mda gani hoja ya msingi ni kwanini shirika kubwa kama hili lisitengeneze system zenye mmbadala kuliko kutegemea mfumo wa aina Moja ambao pia unawaingizia hasara kwa siku zote ambazo huduma imekosekana?.
Nashauri wizara Iwe na malengo mapana katika kuboresha/upgrade mifumo yote hii inayo Fanya kazi bila kuathiri wateja.