Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Ni Tanzania pekee Kati ya nchi zote nilizosafiri Afrika unakuta mtu kaacha duka lake wazi kabisa katoka hajaacha mtu wala nini Sasa cjui ndo uaminifu sana au nini au hata Km kaacha mtu basi kafunga kasepa.
Jana nlikuwa Mapinga pia maduka kibao ivyo Yaani akili zetu zimelala wateja wanakuja wao wapo busy wanapiga stori kona au wanasuka, pia hatuna curiosity kabisa Km mteja akiuliza kitu Km hukijui kuuliza ni nn au uandike pemben in case wengine wakiuliza uwe unaweka.
Nairobi nlikuwa nikipita madukani iwe pharmacy au nn nkiuliza kitu hawajui wanauliza ni nn iko na wanaandika pembeni lakini TZ utakuta wa juzi anasoma Insta hata Km hajasikia vizuri hata hajishughulishi. Tuamke Jamani Internet ina mengi sio umbea tu wa Insta na mastaa ambao hawatusaidii chochote.
Pia Maduka ya waislamu Posta na kkoo wekeni basi Wakristo wa staff mnaowaamini ili mkienda kusali mnawaachia tuendelee biashara kuliko kufunga maduka yote. Mnapoteza hela na wateja. Hadi Saudi wamebadilika. Ni hayo tu leo.
Jana nlikuwa Mapinga pia maduka kibao ivyo Yaani akili zetu zimelala wateja wanakuja wao wapo busy wanapiga stori kona au wanasuka, pia hatuna curiosity kabisa Km mteja akiuliza kitu Km hukijui kuuliza ni nn au uandike pemben in case wengine wakiuliza uwe unaweka.
Nairobi nlikuwa nikipita madukani iwe pharmacy au nn nkiuliza kitu hawajui wanauliza ni nn iko na wanaandika pembeni lakini TZ utakuta wa juzi anasoma Insta hata Km hajasikia vizuri hata hajishughulishi. Tuamke Jamani Internet ina mengi sio umbea tu wa Insta na mastaa ambao hawatusaidii chochote.
Pia Maduka ya waislamu Posta na kkoo wekeni basi Wakristo wa staff mnaowaamini ili mkienda kusali mnawaachia tuendelee biashara kuliko kufunga maduka yote. Mnapoteza hela na wateja. Hadi Saudi wamebadilika. Ni hayo tu leo.