zinc
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,391
- 1,068
Wadau JF,
Nimeona niandae thread maalum kwa wanaopenda kuibariki Israel tu. Nina imani hili ndiyo taifa teule La Mungu. Bila Kupoteza muda maana watu wamekuwa wakipigizana makelele yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Mimi ninaibariki Israel maana ni taifa teule la Mungu kupitia Abraham Baba wa Imani na mwenye Haki.
Barikiwa Israel
Nimeona niandae thread maalum kwa wanaopenda kuibariki Israel tu. Nina imani hili ndiyo taifa teule La Mungu. Bila Kupoteza muda maana watu wamekuwa wakipigizana makelele yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Mimi ninaibariki Israel maana ni taifa teule la Mungu kupitia Abraham Baba wa Imani na mwenye Haki.
Barikiwa Israel