Uzi kwa ajili ya kutoa sapoti kwa watanzania wenzetu ambao wanaoenda kucheza Moira wa miguu nje

Mafanikio 07

Member
Joined
Jun 18, 2019
Posts
57
Reaction score
37
Habari wadau

Naomba nilete kwenu uzi ambao utawaisaidia kuwapa hamasa watanzania wenzetu kwenda kucheza mpira nje mfano akina SAMATTA,msuva na awengineo wengi ili kutoa hamasa kwa wengine eaone umuhimu wa hili jambo nawasilisha.

Usajili na timu zote hapaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…