Uzi kwa ajili ya mabachelor

Mabachela wenzangu,huwa mnachukua miezi Mingapi kufua Mashuka na Mapazia,..
Shuka kama limetumika mfululizo ndani ya wiki moja tu lazima lifuliwe ila hapo kwenye mapazia dah.! nafikiri ni wastani wa mara moja kila baada miezi takribani 7 mpaka 8
 
Mbavu zinauma kwa kicheko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…