Uzi Kwa Ajili ya Ushauri Usio na Faida (Toxic Advice)

Uzi Kwa Ajili ya Ushauri Usio na Faida (Toxic Advice)

Chrysanthemum

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
1,531
Reaction score
5,787
Wadau tumeona nyuzi mbalimbali zikitoa ushauri mzuri huu uzi ni kwa ajili ya ushauri usio na Faida tu , Nitaanza [emoji3][emoji3]

"Kama hana hela piga chini"

" Wewe ukishindwa acha tu , sio lazima wote tuwe matajiri "

"Ogopa cancer tu hizo nyingine ni homa tu"

Next [emoji2]
 
Wadau tumeona nyuzi mbalimbali zikitoa ushauri mzuri huu uzi ni kwa ajili ya ushauri usio na Faida tu , Nitaanza [emoji3][emoji3]

"Kama hana hela piga chini"

" Wewe ukishindwa acha tu , sio lazima wote tuwe matajiri "

"Ogopa cancer tu hizo nyingine ni homa tu"

Next [emoji2]
[emoji23]
 
Back
Top Bottom