Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
[emoji23]Wadau tumeona nyuzi mbalimbali zikitoa ushauri mzuri huu uzi ni kwa ajili ya ushauri usio na Faida tu , Nitaanza [emoji3][emoji3]
"Kama hana hela piga chini"
" Wewe ukishindwa acha tu , sio lazima wote tuwe matajiri "
"Ogopa cancer tu hizo nyingine ni homa tu"
Next [emoji2]
Halafu members wabaki walewaleMudi wangerudisha lile jukwaa, pasinge kuwepo na nyuzi kama hizi...[emoji53][emoji3525]
Uposahihi mkuu, na uongozi ubaki vilevile...😹Halafu members wabaki walewale
Lipi hilo chief..?Mudi wangerudisha lile jukwaa, pasinge kuwepo na nyuzi kama hizi...😕☹️
Kule tulipokua tunajadili yetu kiutu uzima...😋Lipi hilo chief..?
Aww...nimesisimkaaaa🤭Kule tulipokua tunajadili yetu kiutu uzima...😋
Polepole, watoto wasije wakaamka...🤣Aww...nimesisimkaaaa🤭
Oh yeahh...😋🤗💃Polepole, watoto wasije wakaamka...🤣
Kama vipi Mstitue Moderator huenda kasahu maana ana majukumu mengi, mbona maza kafungua za bongo[emoji41]Uposahihi mkuu, na uongozi ubaki vilevile...[emoji81]