si unaona ss, ni bora muendelee kuishi tu hivyo hivyo labda kama ndo mnaanza kuDate au vipi!!Kweli Miller unafanya hivyo na kumuacha huwezi ndio ninii unabaki kujikondea tu kila siku kwa deep mawazu mpaka unakufwa
Mimi huwa siitafuti Shari.. Naisubiri ije yenyewe kwakuwa kama ipo itajitokeza tu... Kuna mistake mahali itafanyikahahaha ni vizuri kama unajifahamu chief, mm pia ndio maana sitaki hata kujaribu...ni hatari kwa afya yangu
utakuja kuutuliza moyo wangu ukianza kudundadunda kwa speed isiyoeleweka?jaribu kidog tu
Eeenh sio mambo ya kuanza kuchunguzana jaman ili ugundue nini jamansi unaona ss, ni bora muendelee kuishi tu hivyo hivyo labda kama ndo mnaanza kuDate au vipi!!
Ndo inavyotakiwa ukimchunguza bata huwezi kumlaEeenh sio mambo ya kuanza kuchunguzana jaman ili ugundue nini jaman
Mwanzo nilikua na tabia ya kushika simu ya mr kila nikishika lazima tu nikutane na majanga halaf kumuacha huwezi unabaki kulia lia unaombwa msamaha yanaisha
Nikakaa nikafkilia hivi nikiacha kutoshika simu yake mbona naishi kwa amani toka siku hiyo hata iite hapo hayupo akiishika atakutana na missed calls zake
lkn hata ikifanyika itakua umeshajiandaa kiakili na kimwili mana utakuona umeona daliliMimi huwa siitafuti Shari.. Naisubiri ije yenyewe kwakuwa kama ipo itajitokeza tu... Kuna mistake mahali itafanyika
Jr[emoji769]
hahaha hongera sana umekuwa na moyo mgumuEeenh sio mambo ya kuanza kuchunguzana jaman ili ugundue nini jaman
Mwanzo nilikua na tabia ya kushika simu ya mr kila nikishika lazima tu nikutane na majanga halaf kumuacha huwezi unabaki kulia lia unaombwa msamaha yanaisha
Nikakaa nikafkilia hivi nikiacha kutoshika simu yake mbona naishi kwa amani toka siku hiyo hata iite hapo hayupo akiishika atakutana na missed calls zake
hilo tu usijalutakuja kuutuliza moyo wangu ukianza kudundadunda kwa speed isiyoeleweka?
sawahilo tu usijal
Mimi naishika anytime nikijisikia, na naichunguza pale inapobidi. Nimefail kuishi kwenye denial kabisa, siku nikifa kwa presha ndo ntaacha kuishikaMimi huwa siafiki kuchunguza simu ya mtu ila pia huwa sikubaliani na wanaoogopa kushika kwa kuhofia kuumia maana hawawezi kuwaacha.
Cc Heaven Sent
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Eeenh sio mambo ya kuanza kuchunguzana jaman ili ugundue nini jaman
Mwanzo nilikua na tabia ya kushika simu ya mr kila nikishika lazima tu nikutane na majanga halaf kumuacha huwezi unabaki kulia lia unaombwa msamaha yanaisha
Nikakaa nikafkilia hivi nikiacha kutoshika simu yake mbona naishi kwa amani toka siku hiyo hata iite hapo hayupo akiishika atakutana na missed calls zake
Kushika simu ya mpenzi wako sio suala la kuogopa hata kidogo.Mimi naishika anytime nikijisikia, na naichunguza pale inapobidi. Nimefail kuishi kwenye denial kabisa, siku nikifa kwa presha ndo ntaacha kuishika