Uzi maalum: Growth Hacking

We jamaa uko vzr,unafundisha,unachekesha pia[emoji23]
Kama panya unauma na kupuliza[emoji120]
 
Nimekuelewa vizuri sana, ila sehemu ya decoy nimeenda nayo kichwani bila kuelewa unaweza nifafanulia zaidi.
 
Aliesoma yote anisaidie summary plizi.
Also mkuu toa credit ulipocopy
 
Madini ya moto haya thanks mkuu! Umenifungua akili
 
Uzi mzuri sn na unakaribia mwaka Ila Una wachangiaji wachache Sana..hapa ndy utajuwa wabongo ni watu wa Aina gani

Wacha mama nae awaruhusu wakenya waje bila permit kisha tuendelee kulalamika wakenya wanatubaka kwenye kila sekta
 
Hata sijasoma ila nimepanga kusoma nikitulia ila nmekupa like kwa jitihada zako kuweka madini haya na pia nme comment ilu post iwe juu wengine nao waone.

Big up sana
 
Uzi muhimu sana huu kwetu sisi vijana watafutaji
 
Pokea 5 ✴️...
Sina Hakika Kama Kuna Uzi utakuja kufikia Level Hii
 
Huu uzi inapaswa kila mtu aupitie kwenye hili jukwaa la biashara

Pongez nying kwa mwandishi kwa elimu hii murua ya kibiashara
Ubarikiwe sana bro
 
Nilikuwa offline; Now I am back. Ni muda wa kuuendeleza uzi 😉 au namna gani ndugu zanguni?
 
dah! nimechelewa sana kusoma huu uzi kama mtu hujapata point hapo basi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…