Uzi Maalum kuhusu Huduma Bora/Changamoto/Kero tunazokumbana nazo Wadau/Wasafiri tunaotumia Viwanja vya Ndege

Uzi Maalum kuhusu Huduma Bora/Changamoto/Kero tunazokumbana nazo Wadau/Wasafiri tunaotumia Viwanja vya Ndege

Bia Ya Moto

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,227
Reaction score
2,816
Huu ni uzi maalum kwaajili ya Wadau/Wasafiri tunaotumia Viwanja vya Ndege Nchini vilivyopo chini ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA).

Zipo huduma nzuri,kero na changamoto tunazozipata Wadau/Wasafiri tunaotumia Viwanja hivi vyenye hadhi ya Kimataifa.

Tuwape Maua yao Watendaji wa Viwanja hivi;
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA),
Jeshi la Polisi Tanzania(PT),
Jeshi la Uhamiaji Tanzania(UT),
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania(ZT),
Idara ya Usalama wa Taifa(TISS),
Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya(DCEA),
Baraza la Usimamizi wa Mazingira(NEMC),
Wizara ya Afya Tanzania,
Mashirika yote ya Ndege ndani na nje ya Nchi.

Lakini pia tutoe madukuduku yetu ikiwepo Changamoto,Kero tunazokumbana nazo pindi tunapotumia Viwanja hivi ikiwemo Rushwa,Wizi na mengine mengi.

Karibu sana.

20230617_101552.jpg
20230603_155551.jpg
20230428_135613.jpg
20230405_220308.jpg
20230324_182951.jpg
20230310_081856.jpg
20230310_213427.jpg
20230324_184748.jpg
 

Attachments

  • 20230308_074409.jpg
    20230308_074409.jpg
    135.5 KB · Views: 5
hizi sasa ni showoff😂
Hapana Mkuu, toa tu uzoefu wako.

Mi kero yangu ni kukosekana flight ya Moja kwa moja kutoka Dar hadi Heathrow.
KLM via Amsterdam ni ghali sana.

Emirates via Dubai inachukua muda mrefu sana kufanya exchange.

Na pale Dubai, abiria tunatembea kwa muda mrefu sana jamani.

Ni hayo tu.
Asante ndugu Mwandishi.
😜😜
 
Hivi ni kwa nini wanazuia watu kupiga picha mnato au hata video? 🤔
Umeenda airport gani ambayo wanazuiq? Au unazungumzia Stendi za bajaj huko kwenu USHETU?
 
Hapana Mkuu, toa tu uzoefu wako.

Mi kero yangu ni kukosekana flight ya Moja kwa moja kutoka Dar hadi Heathrow.
KLM via Amsterdam ni ghali sana.

Emirates via Dubai inachukua muda mrefu sana kufanya exchange.

Na pale Dubai, abiria tunatembea kwa muda mrefu sana jamani.

Ni hayo tu.
Asante ndugu Mwandishi.
😜😜
ntazipata tu na mimi ntakwea pipa😂
 
Hapana Mkuu, toa tu uzoefu wako.

Mi kero yangu ni kukosekana flight ya Moja kwa moja kutoka Dar hadi Heathrow.
KLM via Amsterdam ni ghali sana.

Emirates via Dubai inachukua muda mrefu sana kufanya exchange.

Na pale Dubai, abiria tunatembea kwa muda mrefu sana jamani.

Ni hayo tu.
Asante ndugu Mwandishi.
😜😜
Air France imeanza safari kutoka Dar na Zanzibar hadi Paris, connections kuanzia Paris zipo ikiwemo London. Vinginevyo tumia Rwandair Kigali to Brussels kwa Toto Tundu, connections ni nyingi pia pale.
 
Pole, ulimpa simu akakagua?
Aliniona tangu naanza kupiga hadi nilipomaliza akanifuata nilipo na kunifahamisha kuwa hairuhusiwi kupiga picha na kuniomba nizifute, bila hiana nikamuonyesha picha zote akaamuru nizifute..... Nilifuta zote akaridhika ikabaki Amani.
 
Aliniona tangu naanza kupiga hadi nilipomaliza akanifuata nilipo na kunifahamisha kuwa hairuhusiwi kupiga picha na kuniomba nizifute, bila hiana nikamuonyesha picha zote akaamulu nizifute..... Nilifuta zote akaridhika ikabaki Amani.
Na hauna back up yoyote?
Pole. Inategemea lakini.
 
Back
Top Bottom