Uzi Maalum kuhusu Huduma Bora/Changamoto/Kero tunazokumbana nazo Wadau/Wasafiri tunaotumia Viwanja vya Ndege

Wale hostess wa Emirates ni wakali kinoma.

Unaweza piga hesabu zako za benk kabisa
 
Air France imeanza safari kutoka Dar na Zanzibar hadi Paris, connections kuanzia Paris zipo ikiwemo London. Vinginevyo tumia Rwandair Kigali to Brussels kwa Toto Tundu, connections ni nyingi pia pale.
Asante, hadi November tena sasa.
 
Wanazuia wapi Mkuu? Watu mbona tunapiga picha huru kabisa?
 
[emoji1]showoff zipi tena? Hapa ni uwe mdau tu wa hivi vitu iwe unasafiri ama unatumia Viwanja kinamna yoyote ile siyo tu uwe mpanda ndege.
 
Ndani ya uwanja wa ndege, nimewahi kufuatwa na afisa usalama mmoja, akahakikisha nimefuta picha zote nilizopiga.
Huyo Afisa alikuwa na lake jambo tu,picha unaruhusiwa kupiga popote pale bila kuzuiliwa na mtu.
 
Yes hiyo ni kero kubwa,bado tunahitaji Ndege nyingi zitue viwanja vyetu tusipate adha hizi.

Ila kubwa tushee huduma mbalimbali tunazokutana nazo Uwanjani kabla ya kuboard nini na nini kinakukwaza,kukufurahisha na mengineyo.
 
Kero ambazo mimi nimewahi kukumbana nazo JNIA pale Terminal 2 ni harufu kali na mbaya kwenye maliwato moja wapo iliyopo Arrival pale kwa kweli ni shida.

Umeme pia kukatika katika ovyo na kipindi cha mvua jengo hilo la Terminal 2 linavuja.
 
Ndani ya uwanja wa ndege, nimewahi kufuatwa na afisa usalama mmoja, akahakikisha nimefuta picha zote nilizopiga.
Huu ni upumbavu uliotawaliwa na woga,why hukusema NO,hujavunja sheria yeyote ile, aliku profile umetoka Makete
 
Kero yangu ni wale walinzi wa departure gate wanao scan mizigo ni kero pia wanachafua uwanja na machine zao ukumbi unaonekana ni mdogo, kingine wanafungua fungua mizigo ya watu bila privacy yoyote.
 
Huu ni upumbavu uliotawaliwa na woga,why hukusema NO,hujavunja sheria yeyote ile, aliku profile umetoka Makete
Mkuu, Unajuaje kama sikusema NO? Sidhani maneno kama "Upumbavu" na "uoga" unapaswa kuyatumia hapa kwa maana hukuwepo kwenye tukio lililonihusu mimi.... Nitake radhi tu,.. kwa hadhi yako humu hupaswi kutumia lugha isiyofaa.
 
Wakuu heshima yenu naunga mkono hoja ila naomba nileft hichi kiatu oversize
 
Duuh acha nipate experience za kupanda ndege ili siku nikianza kuzupanda niwe mtabe.

Ombi kwa ambao hatujawahi kupanda ndege mtupe abc ili tusije kutia aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…