Uzi maalum kuhusu mashine za kupimia magari

Uzi maalum kuhusu mashine za kupimia magari

hamisi nondo

Senior Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
192
Reaction score
172
waku naomba wenye ujuzi na hivi vitu waelezee wanayoyajua kwa faida yetu sote,,nimeona nianzishe uzi huu ili tupate elimu ya hayo mambo
1,,kampuni gani nzuri inayotengeneza mashine imara pia rahisi kutumia?

2,,mashine gani nzuri inayopima full system ktk gari mpaka kuprogram immoballizer?

3,,je hizi mashine hapa tz kuna maduka wanauza au wana mawakala?

4,, je hvi ni kweli hizi mashine zimapima mpaka mifumo ambayo haipo kwenye engine control unit(ecu) au control box,,mfano ball joint,,fan belt nk,,au utapeli wa baadhi ya mafundi

5,,je kuna uwezekano wa kutumia laptop kama mashine ya kupimia gari? kama jibu ndio,,je mahitaji gani yanatakiwa ili kutumia laptop kma mashine ya kupimia gari

nawasilisha
 
auto diagnosis machine

Na mm nasubiri kujuzwa, kuna moja nilifanya ika detect stearing system defact
 
Daaa kitu unachohitaji kukufiham ni kizuri sana lkn swali ww wahitaji mashine kwaajili ya kupimia gari gani?? Labda in short hakuna mashine iliyokamili inayojitosheleza hilo sahau kabisaa..na kuna kazi au shida piga ua utahitaji mashine husika kama ni toyota basi TIS sijui bmw utahitaji icom kama ni volvo basi vida n.k
 
Kuna moja nilichungulia ya fundi imeandikwa Auto 30 ss, V 30

Kazi rahisi tembelea mafundi wote walionazo chukua majina google unapata infomation zote
 
Kuna moja nilichungulia ya fundi imeandikwa Auto 30 ss, V 30

Kazi rahisi tembelea mafundi wote walionazo chukua majina google unapata infomation zote
Hakuna mashine hapo hiyo mashine ni old school mm pia ninayo sina mpango nayo nimeitupa kabatini ila ni bonge moja la jembe kwa gari za zamani..but kwa new model haina ishu coz no new update..sijui kuna launch zile kubwa za zamani nazo hamna kitu ..ila mchina nimzuri sana kwa kuanzia coz low price low quality low or no tech support..
 
Hakuna mashine hapo hiyo mashine ni old school mm pia ninayo sina mpango nayo nimeitupa kabatini ila ni bonge moja la jembe kwa gari za zamani..but kwa new model haina ishu coz no new update..sijui kuna launch zile kubwa za zamani nazo hamna kitu ..ila mchina nimzuri sana kwa kuanzia coz low price low quality low or no tech support..
Shukran yaonekana unazijua kwa magari haya 2000 to 2010 TOYOTA Tafadhali tunaomba ushauri wako ni mashine ipi inafaa ? ?
 
Shukran yaonekana unazijua kwa magari haya 2000 to 2010 TOYOTA Tafadhali tunaomba ushauri wako ni mashine ipi inafaa ? ?
Kwa gari gani?? Kwanza hakuna mashine inayofit au fanya kila kitu kwenye gari zote bali kuna mashine nzuri kwenye baadhi ya magari..kwanza cha kwanza ww wataka kupima gari gani??

Asia car
Europe car
Americar car
China car.

Kwakuanzia zakichina sio mbaya sana .ukishakuwa nayo au nazo zenyewe ndio zitakupa mwanga na njia mashine ipi na ipi uongeze ili kupanua wigo wa kazi yako au waweza nunua na kuunga unga mashine za kichina mpaka unakuwa hukwami kazi 90% .lkn kuna baadhi ya kazi lazima utasaliti amri na kutafuta mashine husika.. hasa kwa gari za europe na america..

Ukiniuliza mashine nzuri nitakwambia launch tena now maisha yashakuwa mepesi unanunua bluetooth yako then una crack pro3 softwere maisha yanasonga..

Mashine ya pili Gscan iko powa sana.

Ya tatu maxidas nayo inakuja kwa kasi sana..
 
Back
Top Bottom