Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,428
Wasalaam..
Christmas ni kesho tu hapo, kila mtu anachinja chinja na kuandaa madikodiko plus kupanga viwanja vya kutanua.
Huu ni uzi maalum kwa kupeana zawadi na mialiko, alika memba mwenzio ambaye ungependa kujumuika naye likizo hii, toa zawadi yoyote kwa memba yeyote atakayekubali kuonana na hata zawadi za miamala, tujimwambafai hapa!
Nikianza na mimi mwenyewe ningependa zaidi kuonana na marafiki wenye any disability especially wenye changamoto za masikio na wengine wengi wanaopenda kusocialize na watu wa aina hii maana wengine huonelea kerooo, karibuni!
Location Dar es salaam
Alamsik
Sent using Jamii Forums mobile app
Christmas ni kesho tu hapo, kila mtu anachinja chinja na kuandaa madikodiko plus kupanga viwanja vya kutanua.
Huu ni uzi maalum kwa kupeana zawadi na mialiko, alika memba mwenzio ambaye ungependa kujumuika naye likizo hii, toa zawadi yoyote kwa memba yeyote atakayekubali kuonana na hata zawadi za miamala, tujimwambafai hapa!
Nikianza na mimi mwenyewe ningependa zaidi kuonana na marafiki wenye any disability especially wenye changamoto za masikio na wengine wengi wanaopenda kusocialize na watu wa aina hii maana wengine huonelea kerooo, karibuni!
Location Dar es salaam
Alamsik
Sent using Jamii Forums mobile app