xy-gene
Member
- Mar 20, 2019
- 68
- 54
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka Leo sielewi Babu alikula maharage ya wapi?Hapa Babu Fergie alituingiza cha kike aiseeView attachment 1050536
Duu naona mzee baba anakokota kijiji.Naanza na mfalme wa soka kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka...nakuombea Mungu azidi kukupa afya njema uendelee kutupa burudani ambayo hatukuwahi ipata kwa mchezaji yeyote....
1-View attachment 1050619View attachment 1050623King and Man United
View attachment 1050620Diego armando maradona
View attachment 1050621Zinedine zidane zizzo/ustadhi
View attachment 1050622Juan roman requelmeView attachment 1050627
King and Lyon
Mpaka sasa hakuna aliyetuma picha ya Ronaldo. Hii ni dharau kwa kiumbe huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana tu. Kacheza mpaka na kina Guardiolla lakini mpaka sasa sijui anakwama wapi katika kupanga kikosi cha TAIFA STARS