Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Mechi ya ufunguzi world Cup USA vs North Korea
"Waalabu" ndo watu gani mkuu?Kwaiyo a2takiwi kushabikia timu za waalabu mkuu????
Au kwa sababu wao ni weupe na cc ni weusi kana kwamba 2siwashabikie bwana!!!! Most of them humu jamiiforums wangetamani egypt apite mmoja wao ni mimi Otterhound.
Mafarao wanaenda mkuuu HawaDah Algeria imeniuma mno kutolewa.ndio tim pekee inaweza kupambana vikali na wajungu. Naamini mafarao na tunisia hawata2angusha, Nigeria na morocco pia nawapa nafac
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Naomba litokee kundi kama hili WORLD CUP 2018
USA
RUSSIA
IRAN
SAUDI ARABIA
hapa kutakua na zaidi ya burudani
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]wakikutana na marekani itakua fresh kwa kipindi kama hiki
Ko Russia atakubali nyumbaMechi ya ufunguzi world Cup USA vs North Korea
Mafarao wanaenda mkuuu Hawa
Hawatakosa na Tunisia
Naomba Cameroon na Ivor cost
Nazo zfanikiwe
"Waalabu" ndo watu gani mkuu?
Hapo labda Senegal, Cameroon, black star Ghana wajitutumueVipi kuhusu Ghana, Cameroon, Mali, DRC, Senegal na South Africa. Kuna ambayo imefuzu kwenda World Cup?
Haaah mkuu hapo naona umejaribu kuwaza zaidi ya ubongo wenyewe,,na hizo zitakua zaidi ya mechiNaomba litokee kundi kama hili WORLD CUP 2018
USA
RUSSIA
IRAN
SAUDI ARABIA
hapa kutakua na zaidi ya burudani
Haaah mkuu hapo naona umejaribu kuwaza zaidi ya ubongo wenyewe,,na hizo zitakua zaidi ya mechi
wanacheza bt hawajaingia..kwe mashinano ya kombe la dunia under 17 yanayoendelea sasa hivi wapohivi, north korea hawachezi mpira?
Kwanini?We utakua mwarabu kama sikosei
Egypt imefuzu baada ya kuipiga Congo 2-1Mafarao pigeni goli 100 hao Congo. Nitafulahi mno endapo egypt atatinga uruc. The great team in africa,,Farao
1 Egypt Man
2 Tunisia
3 Morocco
4 Nigeria
Naiombea moja wapo itinge fainali wazee.
Vivaa Egypt man.
Sijawahi kuwa Fan wa huyo dogo mkuu.Toka walivyotudhalilisha Man utd pale wembley miaka ile.Sijawahi kuwapenda tena yeye na timu yake.Ila dogo ni talented sana.Mkuu SirChief. ni waarabu aise.
Siku nyingi husikiki ukimtaja your friend KING MESSI. kulikoni mzee!!!!!
Kwani Morocco kashafuzu?Dah Algeria imeniuma mno kutolewa.ndio tim pekee inaweza kupambana vikali na wajungu. Naamini mafarao na tunisia hawata2angusha, Nigeria na morocco pia nawapa nafac