Wana jf tunaofukuzia pesa kwenye tatu mzuka tukutane hapa lengo Ni kuendelea kutiana moyo,kupeana maujanja Zaid,kutakiana her na kufarijiana.one day yes.nu marufuku kukata tamaa.nawakaribisha
Wana jf tunaofukuzia pesa kwenye tatu mzuka tukutane hapa lengo Ni kuendelea kutiana moyo,kupeana maujanja Zaid,kutakiana her na kufarijiana.one day yes.nu marufuku kukata tamaa.nawakaribisha
huu mchezo bora nikacheze betting ya mpira au kasino.katika mchezo huu ujui una cheza nini ujui hupo na point ngapi kazi kuwa kusanyia pesa.hata kenya ukipeleka na hisi unakimbizwa kwa kiwango cha lami[emoji90]