greybakuza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 897
- 1,276
Vizuri ukaweka picha mkuuNina friji kama hyo ya Samsung naiuza 300000,SMS 0759787679
Ina nini cha ziada mpaka iuzwe laki nne na sabini.!?Printer 470000View attachment 869709
Elfu kumi ina sifuri nne, na laki ina sifuri tano.Elfu kumi ina sifuri ngapi na laki ina sifuri ngapi au unajitoa ufahamu
View attachment 871877 laki 4
Kipo wapi hiki kitanda, na ni ukubwa futi ngapi ngapi kwa ngapi pia hiyo bei ni kwa kitanda na godoro au ni kitanda peke yake au godoro peke yake? nijibu haraka tufanye biashara
Sofa sh ngap?Nauza vifaa vya salon ya kiume vifuatavyo:
Vioo vyenye frame ya Aluminium vikubwa vitatu 1.29M X1.9M
Mlango wa Aluminium upana wa 1.83M na urefu wa 2.15M
Sofa dogo la watu wawili,
TV ya chogo
Sub woofer ndogo
Kikabati kidogo
Kiti cha kunyolea
Mashine Mbili za kunyolea
Fan kubwa ya Juu
Vyote kwa pamoja nauza kwa 1.5M kimoja kimoja tutaongea.
Tuwasiliane kupitia 0713260545
0767987316
View attachment 870935View attachment 870936View attachment 870937View attachment 870939View attachment 870940View attachment 870941View attachment 870942View attachment 870943
mkuu mi nina shida na hiyo j dispenser, unaweza niuzia peke yake?Vifaa/Vyombo vya Hotelini/Mgahawani. Kuna Majiko Makubwa, Majiko ya Kuchomea nyama, Juice Dispenser, Maaufuria makubwa na madogo, Vikombe, Uma, Vijiko, Vikaangio n.k Bei: 1.3 M. Maongezi yapo. 0754656274 location: Madale.View attachment 871857View attachment 871859View attachment 871860View attachment 871861View attachment 871862
Laptop: Acer aspire
Specifications:
Processor Intel(R) core(TM)i5 CPU M430 2.27GHz
RAM 4 GB
Hard disk 595 GB
Battery nzima inakaa na chaji muda mrefu(3hrs).
Inaweza kufanya programs kubwa kama ArchCAD na Qgis.
Shida tu ndio sababu.
Bei 450,000 Tzs
Location: Dar es salaam
0713408996
View attachment 872870View attachment 872871View attachment 872872
Hii bei gani mjombaSamsung s6 edege
Camera ya nyuma 16mp
Camera ya mbela5mp
32Gb
Haingii maji
Ina crack kidogo kwenya mfuniko Wa nyuma
View attachment 866777View attachment 866778View attachment 866779
380000Laptop: Acer aspire
Specifications:
Processor Intel(R) core(TM)i5 CPU M430 2.27GHz
RAM 4 GB
Hard disk 595 GB
Battery nzima inakaa na chaji muda mrefu(3hrs).
Inaweza kufanya programs kubwa kama ArchCAD na Qgis.
Shida tu ndio sababu.
Bei 450,000 Tzs
Location: Dar es salaam
0713408996
View attachment 872870View attachment 872871View attachment 872872
380000
400k hali ngumu kote mkuu,kesho nikuletee hiyoHapana mkuu we mwenyewe angalia specifications hizo na uwe mkweli.
Imeshauzwa mkuuHii bei gani mjomba