Uzi maalum kwa wanaopenda kukaa/kufanya mambo wenyewe,-anti social

ngora

Member
Joined
Sep 17, 2018
Posts
76
Reaction score
135
watu hawa wana tabia zifuatazo
1. hawapendi kuongea sana na akiongea anauhakika wa jambo
2. hawapendi kujichanya sana
3. ni wazuri sana katika kushauri
4. wabunifu
5. wanatafakari kwa kina sana
6 km ulibahatika kusoma na mtu wa hvo basi lazma alikuwa anashika namba za mwanzoni darasani
7. wana IQ kubwa wengi wao
8. hawapendi kuongozwa,
9. hawapendi sifa n.k
 
Kwenye Psychology, Anti-social akili yake inaonekana ina afya au hakuna?

Kwenye Youth Delinquency, anti-social ni sawa na kusema rebel and the habit isn't encouraged.

1. Wagumu kushaurika, huhisi wanajua kila kitu.

2. Sadists.

3. Wengi (siyo wote) walikojoa kitandani hadi wakiwa na umri mkubwa.

4. Experienced childhood trauma.

Mengine nimesahau.
 
Karudie utafiti wako na uufanye kiweledi, ukirudi hapa uje na ripot ya kitakwimu
 
Ni kweli kabisa Ngora. Ila kunasifa moja kubwa umesahau hapo. Ni wepesi Sana kufanya maamuzi magumu kuua/kujiua.
 
Ni Kweli Mzee.... mfano Mimi mpaka watu wanani shangaa nilivyo.
 
Karudie utafiti wako na uufanye kiweledi, ukirudi hapa uje na ripot ya kitakwimu
Mkuu, utamwonea bure mshkaji, hasa hapo kwenye bold, labda bank ya dunia iendelee kushinikiza hilo vinginevyo, hairuhusiwi
 
Umenikumbusha best yangu sedrick yaani alikuwa mkimyaaaa yule ila smart hatari
 
I think term nzuri ya kutumia hapo ni "introverts" sio "antisocial"
Uko sahihi mkuu,
Nafikiri pia nami nipo kwenye kundi hili mara nyingi hua najaribugi kujichanganya sana lakini mwishowe najistukia kabisa kua huyu sio mimi!
 
Na sisi waongeaji tusemeje Mkuu maana tumesoma na watu hao lakini waliambulia kichapo kibaya sana katika uwanja wa taaluma na huku kitaa kama huna communication skills huwezi toboa kwani ajira hakuna
 
ngoja nikae kweny huu uzi kama naongelewa vile
Ungekuwa unaongelewa usingekuwa hapa....unaelewa maana ya anti - social hao jamaa wanaongelewa hapo juu hata humu hawamo.......hawajichanganyi na jamii kwenye real world ....mpaka humu kwenye cyber space
 
Na sisi waongeaji tusemeje Mkuu maana tumesoma na watu hao lakini waliambulia kichapo kibaya sana katika uwanja wa taaluma na huku kitaa kama huna communication skills huwezi toboa kwani ajira hakuna
Hao watu wana cord....zao level yao ya mawasiliano ww huwezi ijua.....alafu wengi wana IQ kubwa ww labda ulisoma na watu wapole au waoga.....sio wakimya...
 
Yani huu uzi unanihusu sinaga marafiki wakudumu, nikiona tu vi traits nisivyovipenda unavyo na ni inborn sitaendelea nawe, muda mwingi niko serious na mambo yangu ,niko very selective kwenye marafiki. Kila nikijaribu kujichanganya lazima kuna watu watanibore
 
Uko sahihi mkuu,
Nafikiri pia nami nipo kwenye kundi hili mara nyingi hua najaribugi kujichanganya sana lakini mwishowe najistukia kabisa kua huyu sio mimi!
Wewe punyeto ndio zimekufanya hivyo
 
Hao watu wana cord....zao level yao ya mawasiliano ww huwezi ijua.....alafu wengi wana IQ kubwa ww labda ulisoma na watu wapole au waoga.....sio wakimya...


Mkuu, hivi ukisoma darasa lenye wanafunzi 500 unaweza kukosa hao watu. Vipi huko chuoni napo sikuwakuta. Njoo kitaa sasa ni mwendo wa kuwaburuza tuu mpaka kaburini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…