YOU ARE JUST AN ARROGANT FREAK!Yani huu uzi unanihusu sinaga marafiki wakudumu, nikiona tu vi traits nisivyovipenda unavyo na ni inborn sitaendelea nawe, muda mwingi niko serious na mambo yangu ,niko very selective kwenye marafiki. Kila nikijaribu kujichanganya lazima kuna watu watanibore
Ni bora, ni bora peke yangu in Fid q voice, we na umbeyambeya wako hadi kina James delicious mashosti zako wamekusaidia nini?YOU ARE JUST AN ARROGANT FREAK!
Anti social sio wote vipanga.....vilaza wapo pia.....ila wengi wao wana IQ kubwa sababu za kujitenga ni kwasababu akili zao zinasafiri kwenye redius/frequency kubwa kuliko wazee wa ku-socialiser....Mkuu, hivi ukisoma darasa lenye wanafunzi 500 unaweza kukosa hao watu. Vipi huko chuoni napo sikuwakuta. Njoo kitaa sasa ni mwendo wa kuwaburuza tuu mpaka kaburini
kabsa na wagumu kubadili uamuziNi kweli kabisa Ngora. Ila kunasifa moja kubwa umesahau hapo. Ni wepesi Sana kufanya maamuzi magumu kuua/kujiua.
ni ngumu kueleweka na jamii na wengi huchukulia jamii haitawaelewa kwa kile watakachoongea maana inakuwa wanafikiri kwa ulimwengu mwengneNi Kweli Mzee.... mfano Mimi mpaka watu wanani shangaa nilivyo.
mashoga huwa wanasocialize sana ndo maana wanakuwa hivoWengi wao ni mashoga
Angalia historia ya magenious wengi kama Isaac Newton na wengine utaonamashoga huwa wanasocialize sana ndo maana wanakuwa hivo
tofautisha mtu muoga(mwny aibu ) na mkimya ni vitu viwili tofautiWrite your reply...ni madomo zege ila wanapendwa sana
kabsa na wagumu kubadili uamuzi