MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
NIMEZINGATIA HILO ILA SAMAHANI KWA KUTOWEKA KITUO WALA KOMA MIMI SIO MTAALAM SANA KWENYE UANDISHI MKUU NISAMEHE KWA HILOMkuu unge edit uzi wako upunguze typos na pia upangilie vizuri angalau uvutie kusomwa.
Ukitumia herufi ndogo pia itapendeza. Asante
SAWA SAWA MKUU ZAMANI WATU WALIKUA WANAPATA TABU SANA MIAKA YA 2000 KUSHUKA CHINI KUSAFIRISHA MALI MBICHI ZAO MFANO MBOGA MBOGA NA KADHALIKA ILA KMAPUNI YA MAERSK IKAAMUA KUTENGENEZA KONTENA MAALUM KWA AJIRI YA KUSAFIRISHA MATUNDA NA MBOGA MBOGA NAZO PIA ZINAITWA CONDITIONAL ATMOSPHERE (C.A) REEFER CONTAINER. MAALUM KWA AJIRI YA KUSAFIRISHA HVYO VITUNaomba kuuliza, ni technologia gani hutumika kusafirishia mbogamboga mpaka zinafika zikiwa fresh?
MAKONTENA HAYA BAADA YA MZIGO KUPAKIWA LAZMA YAWE KWENYE UMEME MDA WOTE NA HATA LIKIWA LINASAFIRIWA KWENYE MELI LINAKUA KWENYE UMEME ILI KUZUIA MZGO USIHARIBIKEUngefafanua Namna Huo Utunzaji
Wa Matunda Na N.k
Halafu Maswali Ndiyo Yanawezekana
YES MKUU ZINAWEZA KUSAFIRISHWA NA GARI MFANO KUNA SAMAKI HUWAGA ZINAPAKIWA KWENDA KONGO SO NI LAZMA GARI LIWEPO ILI KUWEZESHA KUPELEKA MZIGO KONGO AU RWANDA BURUNDI KOTE HUKO LINAKWENDA BILA TATIZO.....Nataka kufahamu hizo container zinaweza kusafirishwa kwa gari?
HAPANA MKUU HAKUNA HIZO DAWA KUTOKANA NA NINI WOTE TUNAJUA SIKU ZOTE MMEA AU TUNDA LISTAWI AU LIMAINTAIN ILE QUALITY YAKE LAZMA KUWEPO NA OXYGEN NA CARBON DIOXIDE SO KWENYE HAYA MAKONTENA KUNA AINA YA CONTAINER MAALUM AMBAZO ZINAITWA CONTROL ATMOSPHERE REEFER CONTAINER KWA MFANO MZIGO WA PARACHICHI UKIWEKWA HUMO NDANI BAADA YA HAPO KUNA KIWANGO CHA OXYGENI NA CARBONDIOXIDE KINASETIWA ILI MZIGO ULIOPO NDANI UWEZE KU MAINTAIN ULE UBORA MPKA UTAKAPOFIKAKuna Suala Baadhi Ya Watu Husema Kuwa
Matunda Na Mboga Ili Yawe Kwenye Hali Yake Ya Ubichi Huoshwa Kwa Dawa Maalum Kuyalinda
Endapo Hakuna Hizo Fredge Za Container
HAPANA HAPO NILIKUA GABON MKUU NILIKUA NIMEENDA KWENYE PORT MOJA NA HUYO JAMAA NI MCAMEROON(YARD SUPERVISER) KUNA KONTENA ILIKUA INATATIZO NILIENDA KUIREKEBISHA😊😊😊😊Kwaiyo wewe ndo uyo kwenye picha mkuu[emoji41]
YES MKUU LIKO KM FRIJI.. LIPO FUTI 40, PIA YAPO YA FUTI 20..., KIUREFU KIMO KM NCHI TISA HVI. NA MATERIAL YAKE YOTE KWA NDANI YAMETENGENEZWA NA ALLUMINIUM ILA NJE NI MCHANGANYIKO KIDGO ALLUMINIUM STEEL NA IRON KIDGOKwa hyo linakuwa kama friji?
Ndio mkuu inawezekana mfano kampuni ya maziwa tanga fresh wanafanyaNataka kufahamu hizo container zinaweza kusafirishwa kwa gari?
SAWA NTALIFANYIA KAZI...ILA NDO NILIVYOZOEAMkuu maji ya pwani, tumia herufi ndogo aisee!! La!!
HATA KAMPUNI ZA SIGARA PIA WANAWEZA TUMIA HAYA MAKONTENA KUSAFIRISHA SIGARA NA ZIKAFIKA SALAMANdio mkuu inawezekana mfano kampuni ya maziwa tanga fresh wanafanya
Mkuu naomba kufahamu,umeme unaotumiwa na hayo makontana unazalishwa kutoka wap?SAWA NTALIFANYIA KAZI...ILA NDO NILIVYOZOEA