UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 414
- 481
Habarini. Katika kila sehemu hapakosi wakimya, waongeaji sana na walio kati yao n.k.
Ingawa kuna wengine humu huwa kuanzisha uzi ni kawaida mara kwa mara. Ila wengine wanapenda kusoma sana kuliko kuandika (Mmojawapo mimi).
Sasa wale ambao wapo kimya sana, sasa huu ndio uzi wetu. Andika lolote, hata kuguma tu "mh", haha!, au tusalimiane tu kwa kuwa tupo kimya muda mrefu, ili tupate kujuana tu ki-JF-JF.
KARIBUNI.
Ingawa kuna wengine humu huwa kuanzisha uzi ni kawaida mara kwa mara. Ila wengine wanapenda kusoma sana kuliko kuandika (Mmojawapo mimi).
Sasa wale ambao wapo kimya sana, sasa huu ndio uzi wetu. Andika lolote, hata kuguma tu "mh", haha!, au tusalimiane tu kwa kuwa tupo kimya muda mrefu, ili tupate kujuana tu ki-JF-JF.
KARIBUNI.