Wakimya na wapole wanao uzi waoSisi wakimya hatukomenti kitu hata kwenye huu uzi
Habarini. Katika kila sehemu hapakosi wakimya, waongeaji sana na walio kati yao n.k.
Ingawa kuna wengine humu huwa kuanzisha uzi ni kawaida mara kwa mara. Ila wengine wanapenda kusoma sana kuliko kuandika (Mmojawapo mimi).
Sasa wale ambao wapo kimya sana, sasa huu ndio uzi wetu. Andika lolote, hata kuguma tu "mh", haha!, au tusalimiane tu kwa kuwa tupo kimya muda mrefu, ili tupate kujuana tu ki-JF-JF.
KARIBUNI.
Mkuu,unajua huku kwetu umeme umekatika kweli[emoji3] [emoji3] nomaaKuna sehemu umeme lazima ukatike.Bisha
We jamaa una roho mbaya, huku kwetu umeme umekatika, sijui uko zamu mida hii huko TANESCO??Kuna sehemu umeme lazima ukatike.Bisha