Asalaleeeee!!!!!πni washamba wachache walokosa iphone ndo hutumia samsung
Hii picha imepigwa na samsung sio latest leta ya kwako ya iphone latest.ni washamba wachache walokosa iphone ndo hutumia samsung
Unajipiga cha ukucha halafu unakinusaKaribuni waungwana wa iphone 16 ...
Duh! Kapicha ka iPhone 16 Pro MaxHuu ni uzi maalum kabisa kwa wale wachache tunaokwenda na muda kiasi cha kuhakikisha teknolojia mpya zaidi ya simu duniani yaani iphone 16 ipo kwenye mikono yetu laini.
Hapa tutaambiana vile ambavyo tunatazamwa tunapopokea simu mbele za watu na jinsi ya kufanya vitu mbalimbali kwenye simu zetu.
NB. Mods MTU AKICOMMENT HAPA na KALKULETA yake ya huawei tecno samsung oppo nk APIGWE BAN MIAKA 3 NA ID YAKE IFUTWE ..!!
Karibuni waungwana wa iphone 16 ...
naona Mkuu umeamua kumtumia picha kwamba asafishe Mtaro kwanza.Hii picha imepigwa na samsung sio latest leta ya kwako ya iphone latest.View attachment 3094659
Hahaha nimejaribu kutetea korea mkuu.naona Mkuu umeamua kumtumia picha kwamba asafishe Mtaro kwanza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samsung is the best.
Alafu watumiaji wa iPhone ni watu flani wasiojiamini, wenye kujiona level sana, alafu kampuni la upinde hilo, mwanaume unatumia simu ya apple [emoji519] [emoji3]?
Hizo tuwaachie hawa mashangingi.