Uzi maalum kwaajili ya wachimbaji wa dhahabu

Uzi maalum kwaajili ya wachimbaji wa dhahabu

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Niwe muwazi mimi sio mchimbaji wa dhahabu lakini nimezungukwa na wachimba dhahabu wengi sana hapa ninapoishi kwahiyo nimeamua nianzishe huu uzi maalaum ambao utakuwa ukitumika kupeana updates za machimbo mapya na stories nyingine za kiuchimbaji

Kwa walioko Geita kuna machimbo mapya yameibuka huko Nyamtagata mnaweza kwenda kuangalia chochote kitu

Naona mania ya wachimbaji kutoka Lwamgasa,mgusu,msasa,matabe na wengine kutoka masumbawanga nk washamiminika na mimoko yao

Kwa pande za Simiyu kuna machimbo mapya hapo nyamishiga bebeni moko mkapige kazi

Updates: machimbo ya Nyatamataga yamefungwa juzi baada ya wachimbaji wanne kufukiwa shimoni,kwa sasa watu wote wameondoka watakaokaidi watapatiwa kipigo cha mbwa koko kama kawaida ya kipigo cha machimboni
 
Na kawaida hawa ndiyo hupiga pesa balaa. Nilisoma habari za Calfornia na Kondike gold rush. Wanaouza bidhaa za uchimbaji, madanguro nk walitajirika huku wachimbaji wakiwa maskini wa kutupwa.
Unapiga hesabu vizuri halafu unaenda mahali (Porini) usiku unaenda kutupa vipande vya Dhahabu isiyozidi laki nne unajifanya unachimba na umepata

Kisha unawatangazia Wananchi wakija kwa wingi unafungua Bar Gesti na Danguro huku unawacheki Wanaume wanapambana na kutokomea Ardhini.
 
Unapiga hesabu vizuri halafu unaenda mahali (Porini) usiku unaenda kutupa vipande vya Dhahabu isiyozidi laki nne unajifanya unachimba na umepata

Kisha unawatangazia Wananchi wakija kwa wingi unafungua Bar Gesti na Danguro huku unawacheki Wanaume wanapambana na kutokomea Ardhini.
Hahaaaaa, huu ni zaidi ya uhuni.
 
Usalama wao uzingatiwe, some one is going to be rich🤣🤣🤣
 
Unapiga hesabu vizuri halafu unaenda mahali (Porini) usiku unaenda kutupa vipande vya Dhahabu isiyozidi laki nne unajifanya unachimba na umepata

Kisha unawatangazia Wananchi wakija kwa wingi unafungua Bar Gesti na Danguro huku unawacheki Wanaume wanapambana na kutokomea Ardhini.
Kwamba unakuwa na eneo lako unawakatia vipande wakulipe au
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unapiga hesabu vizuri halafu unaenda mahali (Porini) usiku unaenda kutupa vipande vya Dhahabu isiyozidi laki nne unajifanya unachimba na umepata

Kisha unawatangazia Wananchi wakija kwa wingi unafungua Bar Gesti na Danguro huku unawacheki Wanaume wanapambana na kutokomea Ardhini.
 
Unapiga hesabu vizuri halafu unaenda mahali (Porini) usiku unaenda kutupa vipande vya Dhahabu isiyozidi laki nne unajifanya unachimba na umepata

Kisha unawatangazia Wananchi wakija kwa wingi unafungua Bar Gesti na Danguro huku unawacheki Wanaume wanapambana na kutokomea Ardhini.
Hii ni Akili Yako serious au unatania?
 
Niliskia na kule Mwime (Kahama) Palikuwa pamehila pia, vipi hali ipo vipi kwasasa?
 
Mchimbaji Wa Dhahabu Halisi Huo Mda Wa Kutoa Update Anaupata WAPI NIMECHIMBA SANA DHAHABU MBEYA MDA TU WA KUOGA NILIKUWA NAKOSA SASA HIZO UPDATE NITAZITOA WAPI KWANZA NETWORK TU MAPORINI NI MZIKI KUIPATA
 
Mchimbaji Wa Dhahabu Halisi Huo Mda Wa Kutoa Update Anaupata WAPI NIMECHIMBA SANA DHAHABU MBEYA MDA TU WA KUOGA NILIKUWA NAKOSA SASA HIZO UPDATE NITAZITOA WAPI KWANZA NETWORK TU MAPORINI NI MZIKI KUIPATA

[emoji16][emoji16][emoji16] Hii ni chunya moja
 
Back
Top Bottom