Uzi Maalum: Makala za Utafiti wa Visa Maarufu Vilotokea Tanzania toka 1961 mpaka 2010

Uzi Maalum: Makala za Utafiti wa Visa Maarufu Vilotokea Tanzania toka 1961 mpaka 2010

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,414
Reaction score
2,181
Habari Wakuu. Kwa Wahenga na wale kizazi kipya kuna matukio yalitokea, kama si kumbukumbu za vyombo vya habari, basi anayekusimulia,utamuhisi amekopi sinema fulani na si uhalisia ulotokea Tanzania. Baadhi ya Matukio hayo ni pamoja na
1.Toleo la kwanza: Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza kuiba mamilioni ya NBC benki Tanzania bila kutumia silaha
Wahenga tulioshuhudia wote wanalizungumzia vipi tukio hili?
Je wapenda kujua yuko wapi kwa sasa?
Wapi alipo mumewe waloshiriki wote wizi?
Wanae wako wapi?
Anajisikiaje hivi sasa?
Alimaliza kifungo salama?
Na mengine mengi sasa, yapo jarida letu jipya la Wahenga utapata nakala yako kwa elf 3 tu kwa soft copy ya toleo moja.
Sarah 2.jpg



Toleo la pili: Justine Kasusura : Rekodi ya pesa nyingi zaidi za benki kuibiwa na mtu mmoja( dola milioni 2 za marekani)
Je yuko hai au kafariki ?
Je wapenda kujua yuko wapi kwa sasa?
Bado pesa anazo?
Aliwezaje kusimamama mahakamani kutetea rufaa yake bila wakili?
Maskini!! alompa connection ya kazi ndo hivyo.
Je benk walilippwa na kampuni ya bima?
Na mengine mengi sasa, yapo jarida letu jipya la Wahenga utapata nakala yako kwa elf 3 tu kwa soft copy ya toleo moja.
Kasusura 3.jpeg


Toleo la tatu: Uporaji pesa za NMB benki katika eneo Ubungo mataa : Ni tukio la kuogofya ambapo majambazi walitumia silaha za kivita ikiwemo bunduki ya mkanda, kuua dereva na askari mmoja kisha kuondoka na maboksi maatatu ya pesa.Lakini mambo hayakuwa rahisi.
Je maboksi yalikuwa na kiasi gani ?
Walikamatwa au kutoroka mazima?
walikuwa wangapi?
Nini hatima ya wahalifu hawa?
Zilikuwa zikisafirishwa toka wapi kwenda wapi?
Na mengine mengi sasa, yapo jarida letu jipya la Wahenga utapata nakala yako kwa elf 3 tu kwa soft copy ya toleo moja.
ubungo mataa 8.PNG
Ubungo mataa 2.jpg



Toleo la nne: Vijana 5 wa kitanzania walioteka ndege ya ATC na kwenda nayo Uingereza
Ni kina nani vijana hawa?
Je Yapi yalikuwa madai yao?
Haikuwa uwanja wa JNIA, Je walitekea uwanja gani ndege hiyo?
Uingereza na Tanzania walifikia muafaka gani?
Wako wapi hivi sasa vijana hawa?
Na mengine mengi sasa, yapo jarida letu jipya la Wahenga utapata nakala yako kwa elf 3 tu kwa soft copy ya toleo moja.

atc DEGE.png
Membar.jpg


Kwa mahitaji ya jarida lolote kati ya haya au yote, piga 0713-039875
 
Back
Top Bottom