Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Hivi me kaketi naye au huko ni kuinama? Kuketi ni kufanyaje
DemuKama una chemsha bongo yoyote ile iwe kwa mtindo wa maandishi au picha,,tupia hapa..tuchangamshe bongo zetu
1.nani kaketi kwenye sofa hapo kati ya mkaka na mdada
I mean mselaKama una chemsha bongo yoyote ile iwe kwa mtindo wa maandishi au picha,,tupia hapa..tuchangamshe bongo zetu
1.nani kaketi kwenye sofa hapo kati ya mkaka na mdada
Bado hajajificha labda aje sasa ajifichekwenye hii picha kuna mwanamkekajificha wapi>??
3TANK NAMBA NGAPI LITAANZA KUJAA MAJI
Namba 5TANK NAMBA NGAPI LITAANZA KUJAA MAJI
HAPANANamba 5
sent from my kimobitel
hahahah sio kweli
ameegemea mti hapo kwa chinikwenye hii picha kuna mwanamkekajificha wapi>??