Kutokana na wewe kukata namba 5 sio jibu sahihi, kwa kuzingatia kasi ya maji toka mbombani tanki namba 1 laweza kujaa Kwanzaa, wakati huo huo linapitisha maji kwenda namba 5 kwa kasi ndogo.TANK NAMBA NGAPI LITAANZA KUJAA MAJI
Taxi driver amevunja sheria katka KEEP LEFT
badala ya Kupita LEFT akapita KULIA
Na trafik alikua hapo hapo kwenye hio round about,cha ajabu huyo trafik hakumsimamisha huyo Dereva wa taxi baada ya kumuona na anapita kulia badala ya kukeep left
Swali,, Je ni kwanini huyo trafik hakumsimamisha?
Ataepata jibu zawadi yake nono PM
Sent from Calculator Phone vesion007
vyote vinne anyweKipofu aliyekutwa na hatia, na kuhukumiwa kunyongwa, alipewa nafasi ya kuepuka adhabu hiyo kwa kupewa chemsha bongo:
Alikabidhiwa vidonge vinne vya rangi, viwili vyeupe na vingine viwili vyekundu. Vidonge hivi ni vya sumu lakini vikinywewa kwa viwango sawa vinashambuliana vyenyewe na havileti madhara, yani mtu akinywa kidonge kimoja chekundu na kimoja cheupe basi hatarudhika. Lakini akinywa vya rangi moja tu lazima afe.
Kipofu huyu aliambiwa ni lazima anywe vidonge viwili, akifanikiwa bila kudhurika basi ataachiwa huru.
Je, huyu kipofu atakunywaje hivi vidonge ili asalimike..?
sababu ni round aboutTaxi driver amevunja sheria katka KEEP LEFT
badala ya Kupita LEFT akapita KULIA
Na trafik alikua hapo hapo kwenye hio round about,cha ajabu huyo trafik hakumsimamisha huyo Dereva wa taxi baada ya kumuona na anapita kulia badala ya kukeep left
Swali,, Je ni kwanini huyo trafik hakumsimamisha?
Ataepata jibu zawadi yake nono PM
Sent from Calculator Phone vesion007
Watamnyonga kwa sababu atakua amekiuka maagizo, anatakiwa anywe viwili tu.vyote vinne anywe
Traffic hawakai round aboutTaxi driver amevunja sheria katka KEEP LEFT
badala ya Kupita LEFT akapita KULIA
Na trafik alikua hapo hapo kwenye hio round about,cha ajabu huyo trafik hakumsimamisha huyo Dereva wa taxi baada ya kumuona na anapita kulia badala ya kukeep left
Swali,, Je ni kwanini huyo trafik hakumsimamisha?
Ataepata jibu zawadi yake nono PM
Sent from Calculator Phone vesion007
Atavunja kila kidonge katikati na kunywa nusu moja, nusu nyingine ataweka pembeni.Kipofu huyu aliambiwa ni lazima anywe vidonge viwili, akifanikiwa bila kudhurika basi ataachiwa huru.
Je, huyu kipofu atakunywaje hivi vidonge ili asalimike..?
Alikua anakipara ndiyo maana hakulowa nywelemzee alikuwa safarini gafla mvua ikaanza kunyesha..hakuwa na kitu chochote cha kujizuia wala pa kujificha...alifika nyumbani kalowa mwili wote lakini kasoro nywele tu...HII INAWEZEKANAJE
Kwenye mti chinikwenye hii picha kuna mwanamkekajificha wapi>??
Namba 4TANK NAMBA NGAPI LITAANZA KUJAA MAJI
Haya mkuu,unajua sana kuchunguza aisee
Kwakuwa Tangi nambari Tano (5) na nambari Mbili (2) ni jirani kutokea chanzo cha Maji ambacho ni nambari Moja, kitakachofuata Maji yatashuka Tangi nambari Tano (5) kutokea nambari Moja ambayo ndio chanzo kamili, na yatakapofika hapo nambari Tano Maji yatajaa na kisha kubaki, kivipi?
Ni kwasababu jirani yake Tangi nambari Mbili (2) amewekewa kizuizi, basi Maji yataanza jaa hapo nambari Tano (5).
Kwahiyo jibu la chemsha Bongo yetu ni,
Nambari 5