LGE2024 Uzi Maalum wa Kasoro na Rafu kwenye zoezi zima la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

LGE2024 Uzi Maalum wa Kasoro na Rafu kwenye zoezi zima la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kuanfikisha wanafunzi kama wapiga kura
Baadhi ya vituo kuwa kwenye majengo ya ccm
Baadhi ya vituo kuwa kwenye makazi ya wagombea
Vurugu za ccm na kujeruhi wapinzani
 

Huu ni ujinga Sana. Halafu CCM wanajiuliza kwa nini watu hawataki kujiandikisha kupiga kura
 
Kwa navoona mambo yanavoendeshwa na Mkwe wa Mama Sioni sababu ya mimi kujiandikisha wala kupiga kura naona kama napoteza muda wangu wakati najua Fika Viongozi watatangazwa hata Kama Nilomchagua kashinda watampitisha Ambaye wanamtaka Yeye na Mama Mkwe wake.
 
20241023_194822.jpg
 
Kilichotokea 2019 ndicho kinachotokea 2024 kubaki wagombea wa chama kimoja tu tawala, ni uchaguzi wa kihuni kutumia kasoro ndogo kuwaengua wagombea wa upinzani. Binafsi ni mwanachama wa ccm ila kinachofanyika ni aibu kwenye mfumo wa vyama vingi, chama tawala kinasubiria mapingamizi ili kishinde uchaguzi. Mpendwa Raisi hii ni aibu futa aibu hii
 
Ccm waliwaengua wapinzani kisa ni wajasiriamali kwa hiyo hawanasifa sasa huyu kenge ni wa ccm ila na ni mjasiriamali na hakukatwa. Ccm ni wajinga.
20241109_130506.jpg
 
Nipo same mjini Kuna gari kubwa la matangazo linapita mitaani linatangaza wagombea wanao TAKIWA kupigiwa kura ila anae takwa wa kwanza ni ?
Mama Samia NAULIZA Samia anagombea uenyekiti na ujumbe wa NYUMBA kumi wa MTAA WA same au?
 
Nipo same mjini Kuna gari kubwa la matangazo linapita mitaani linatangaza wagombea wanao TAKIWA kupigiwa kura ila anae takwa wa kwanza ni ?
Mama Samia NAULIZA Samia anagombea uenyekiti na ujumbe wa NYUMBA kumi wa MTAA WA same au?
Hee, ujanja wote ulionao kumbe unakaa Same!
 
Nipo same mjini Kuna gari kubwa la matangazo linapita mitaani linatangaza wagombea wanao TAKIWA kupigiwa kura ila anae takwa wa kwanza ni ?
Mama Samia NAULIZA Samia anagombea uenyekiti na ujumbe wa NYUMBA kumi wa MTAA WA same au?
Mdhaifu hubebwa na kila mtu lkn Simba hufukuza kila adui kwa sauti ya ngurumo yake
 
Back
Top Bottom