Uzi maalum wa kujifariji, kuridhika na kupeana matumaini ya maisha

Uzi maalum wa kujifariji, kuridhika na kupeana matumaini ya maisha

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kwa wale wapambanaji na wazee wa kusikilizia michongo;

Ebu tupieni faraja na matumaini hapa ili kujipa moyo wa kupunguza maumivu yoyote!

Mi nawaambia wadau muachage mazarau!
Maeneo yangekuwa yanahamishika, Mimi huko Moshi nina heka tatu, nikizileta DAR pale kariakoo! Unadhani nitauza bei gani!?

< Anaringa na kigari chake cha mkopo; ukifika japani hivyo vigari vinauzwa kwa mafungu, Nikitaka gari mi nitaagiza ujerumani iletwe na ndege!

kujenga nyumba ni uoga wa maisha! Wenye uhakika na kulipa kodi unajenga nyumba ya nini!..

< Anajishaua wakati nafasi yenyewe ya kuteuliwa, bora sisi tuko huru na shughuli zetu hamna hamna kwa siku hamsini hatukosi!

Anavyojisikia na huyo bwanaake mario angekuwa na shepu kama ........ si tungekoma mtaani hapa!
 
Ha ha haaa haya maneno ya kimaskini ..eti Mo pamoja na kuwa na hela zote lkn Hana raha na haya maisha kuliko Mimi mpiga deiwaka wa mashambani
 
Ha ha haaa haya maneno ya kimaskini ..eti Mo pamoja na kuwa na hela zote lkn Hana raha na haya maisha kuliko Mimi mpiga deiwaka wa mashambani
Nyanya anayokula Mo ni ileile inayolimwa NAMTUMBO tofauti vifungashio
 
Nyanya anayokula Mo ni ileile inayolimwa NAMTUMBO tofauti vifungashio
Ha ha wewe jifariji tu Mo hawezi kula ugali wa buku na dagaa za mchanga Kama unazokula wewe ...na hata nyanya hivyo hivyo ..
 
Birds don’t just fly, they fall down and get up.
 
Kwani huo utajili atazikwa nao?
Bora utajiri wa roho kuliko utajiri wa mali,

Alisikika kapuku mmoja huku akipiga miayo.

😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom