Uzi maalum wa kujuana sehemu gani unapitakana au kuishi,ikiwezekana weka jina moja tu

jina; mfia dini
makazi;biblia na qulan
kazi;imamu na mchungaji
ujumbe;tusipangiane cha kufanya
anasa haijawahi muacha mtu salama hasa nyakati hizi..
 
mkuu umeona mbali mashushu wengine wanatufuata hadi pm jamani yupo mmja namtakia maisha mema ...

ndio hivyo mkuu hapa akili kubwa lazima itumike maana hata mfalme aliwahi kusema anatamani malaika washuke waje waifunge mitandao ya kijamii lakini moyoni mwake ni JF tu ndio inamnyima usingizi maana humu watu wanajitambua na wana hoja nzito zenye mashiko
 
jf itasimama milele leo jana na kesho kutwa hizi hizi id zetu zinatosha hayo mengine remain constant....
 
wengine majambazi mashoga wasagaji na mafisadi tunao humu nani asiye litambua hilo.....
 
mapadri wachungaji mashekh maimamu nao wamo humu jf never die...kwa ajili ya m2 mmja
 
jf itasimama milele leo jana na kesho kutwa hizi hizi id zetu zinatosha hayo mengine remain constant....
great AMEEEEEEEEEEN, long life to Jamii forums, long life to Maxence Melo.... hasta la victoria siempre patria or muerte venceremos.
 
great AMEEEEEEEEEEN, long life to Jamii forums, long life to Maxence Melo.... hasta la victoria siempre patria or muerte venceremos.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Jina: Lizzy
Makazi: Mikocheni
Kazi: Kondakta
Mahusiano: Single
Ujumbe: Kazi Kazi.
 
Jina: Nguswigha Ifyaitolo Fikufyuka, jirani na mama mwampaghata dadake na mwakifwamba angetile mtoto wa mwanyingi agholwike nsebho wa mwatisi mwakaleli.
Kazi; mkulima maarufu wa magimbi mnayokula huko Dar si salama
Ujumbe; maisha ni mafupi sana, tumche Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…