Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
last time niliangalia juzi sijaona mabadiliko yoyote ngoja niangalie na saiviUmeangalia kwenye account yako? Kama umeangalia hujaona mabadiliko yoyote?
Umeangalia kwenye account yako? Kama umeangalia hujaona mabadiliko yoyote?
Vyema sana, lakini nimeona wengi mwaka huu hawajapata hawajatendewa haki kabisa...now nimeangalia nimekuta allocation, sikujua kama tayari aisee sasa nina amani
View attachment 3168055
na ushamba wangu nime appeal na nimepata 😆😆Una appeal nini mshamba wewe!!!
Wafate huko huko bodi kawakoromee!!
mkuu nimeteseka sana lazima nijipongeze angalau kidogo tuVyema sana, lakini nimeona wengi mwaka huu hawajapata hawajatendewa haki kabisa...
Wewe sasa ushapata na usije ukatapanya kwa matumizi ya hovyo 😁
Hii bodi inatesa watu sana aisee!Vyema sana, lakini nimeona wengi mwaka huu hawajapata hawajatendewa haki kabisa...
Wewe sasa ushapata na usije ukatapanya kwa matumizi ya hovyo 😁
Kuna watu wana vigezo kabisa na hawajapata.Hii bodi inatesa watu sana aisee!