[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata mimi mpenzi, hebu tutoe stress huku kama enzi zile.
Ni raaaaaaah
Tayari likes hazina thaman tena, saivi huwez mjaji mtu kwa likes zake, jamaa wamekuja na mbinu ya kuibomoa thaman ya likes!!! Hebu nitajieni kingine cha kuonesha thaman ya mtu huku kilichobakiakuna jamaa asubuhi alikuwa ana likes 5 afu ni new member ila saiv naona ana likes 2000 afu eti ni expert member...aseee jamaa hajalipa kodi kaiba likes humuuu.kamati itaundwa kumchunguzaaaa hahaha
Hii inaitwa Zoa zoa..Tunasepa na kijiji
HahahahaHaya ni mapambano ya kuangusha nguri wa majukwaa wa humu maana wamekuwa na likes nyingi sna, sasa mmekaa mmefikifiriaa mmeona mje na hii mbinu, mtu aliejiunga jana atakuwa na likes nyingi kuliko asprin au mzizi mkavu"""
Hii ni zaidi ya Andrew chenge! Kazi kwenu mm naelekea kulala
Aseee swala la wivu halitamuacha mtu salamaKijana ntakupasuaaaaaa [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Au unataka jina lako litokee kwenye riport ya makanikia Part 4
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
tupo tupo tunachunguliaWanacham wa wa mwisho ndo mshindi hawajaj kweny huu uzi sijui kwa nin na wakat makapuk nafs zimewashind wamekuja