Hahahahahaaaaaaa.Kijana ntakupasuaaaaaa [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Au unataka jina lako litokee kwenye riport ya makanikia Part 4
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nishakupa
HahahahaLabda tuwe tunaishi koromije, sio kwa misosi hiyo.
Mimi niletee pizza za KFC nimezimiss sana, ukishindwa basi sekela baby [emoji39]
Ugali wako wa dagaa nitakupikia bila shaka [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa haya machache unayofanya zawadi yako hii [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253]Namiona mmechoka
kula likeTumechoka kumeza mate
HahahahaMaxcence Melo ashashitukia mchezo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ahsante kwa kuja sis mpaka keshoKwa Leo naona yatosha!! Asanteni wadau!!!! Muwe na wkt poa
Hahaha achanganye na kibiti kidogHapo aweke makanikia
Usinifanyie roh mbaymbn haulikiki?
Kwa kweliTumechoka kumeza mate
Jambo shemela?
Wew tuKupumzika inaruhusiwa..!?
Duuh sawa mkuuKula like wasalimie uendako mkuu