Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
HahahaNgoja wakupe likes sasa
Hahahaaaaa mkodosiii....wee noma sana kamanda.Hii ni Mkodosi Mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] zikitosha unapga kimya mkuu ukicoment unazo zakutosha tu!!Wakuu, zimetosha! ASANTENI SANA.
Hujakosea mkuu nasikia raha kugombania likes na 30+Hehe huo umri unakuhusu mkuu?
Toa sababu za kufungwa, au una unaaaUzi ufungwe rasmi sasa!
Hahaha nyie wa pwani hatuwataki tena maana mumevurugwa!hhehehe kidding mkuu usiogope
Hiyo beba kitu cha uhakika huku hakuna makinikia raha tele.Jamani na miye nimefuata Like zangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] manake nn mkuu??
Hehe endelea kupokea na wewe zako mkuu though ni 30+Hujakosea mkuu nasikia raha kugombania likes na 30+
Nmekupa like yako
Mbona siuoni mshedee?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anzeni kucomment herufi tu mana mnachekesha sasa!!!Muwe mnasoma na mnavyo LIKE, utalike kumbe jamaa anasema anataka akupumulie kisogoni.
Huyu minor katokea wapi uzi wa wakubwa huu!Sikamo ntoa udhii
Acha basi kuniweka roho juu, umeanza lini utani na baby wangu.Miss natafuta mie ndo yule jamaa uliyekua unanitafuta plz kuja hapa tuonane na hawa wote wana jf ndo shemeji zako na wifi zako
Pumbfyuuuu mfyuuuu in homorapa's msonyoo(wakichina)[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Haya nyie vikojozi nifanyieni donation ya Likes 200 nina shida nazo..
Huku hakuna hiaya utazipata za kutoshaJamani na miye nimefuata Like zangu