Tumeoga like, tumepaka mafuta ya like , tumepulizia perfume ya like.Duh, likes nilizokula hapa zatosha jamani! Zinakaribia mia, mleta uzi lengo lako limetimia, watu waoge likes.
Umezama ndaniMbona siuoni mshedee?
Hahaha kwani hajakwambia?Acha basi kuniweka roho juu, umeanza lini utani na baby wangu.
Kuwa wewe ni mdogo wake?Hahaha kwani hajakwambia?
NiPM nikwambie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] manake nn mkuu??
Hahaaaa mm mstaarabu tu nisamehe nddugu..Tukana ila soma lengo la uzi halafu pokea like yangu. Najua utajirekebisha humu ni wastaarabu
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hapa ni kugonga like, ugongwe tu, hatari sana!
Huna point ila kamata likenapendaga makomenti ma like
napendaga makiki kama msanii..
mimi Bashite
Ndo unaamka mzee?Haya kumekucha ...!!