tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,315
Huwa hazizidi 5 hata upewe 100 zitasoma 5mbona kila mtu ana like tano au ndo setting
Kucomment tu hapo ushatafuta tayarSiwez kutafuta likes Kwa njia Nyepesi hivi , nitakua nimejikosea mm na Jamii forum Heshima.
Pata like baadae ukatafute like za heshimaSiwez kutafuta likes Kwa njia Nyepesi hivi , nitakua nimejikosea mm na Jamii forum Heshima.
Mikoani wana kila kitu lakini vitu vizuri vyaliwa mijiniMkuu huyo ni sato au dagaa.... Kweliii mikoani kuna raha sana
Una tumbo safiiMimi je?
Mimi nalindwa na pacha wanguHehehe najua hutaki tamu ya kaka ichenjuliwe.
Hongera sana kwa kumsaidia kaka ulinzi.
Swali la kizushi, wewe unalindwa na nani?
TayariHahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Nipe like zangu
Hmm[emoji87] wewe sio wa mchezo mchezo hata bashite akuwezKula like mkuu usijali hizi like nazotoa naziiba
asingecomment kabisa.Kucomment tu hapo ushatafuta tayar
Nilijua hujaona nilichosema ujue [emoji23] [emoji23]Eeeh unaona aibu tena[emoji12]
Sijatosheka badoKula tena
[emoji3]hahaa nilijua ntatajwa mimi[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mimi nalindwa na pacha wangu
UongoHuu uzi unaenda kujaa soon, inaonekana unapendwa sana, wacha nami niseme yangu nipate like, Magufuli ni rais bora anaeliliwa na mataifa mengine akawe rais wao licha ya sisi kutoona umuhim wake kwa sasa, kama umekubali hii gonga like twende zetu
HahahaaaaHuu uzi unaenda kujaa soon, inaonekana unapendwa sana, wacha nami niseme yangu nipate like, Magufuli ni rais bora anaeliliwa na mataifa mengine akawe rais wao licha ya sisi kutoona umuhim wake kwa sasa, kama umekubali hii gonga like twende zetu