Fateni utaratibu bs unalike unakomentiNaona mnakimbilia comment kulike hamtaki
mods naombeni muufunge uzi huu maana hauna la maana sana ila sivi page ya 560 jana tuu! zipo thread za maana lakin coment hata mia hamna? watanzania kweli mambo ya ujinga ndio tunayoyapenda ila ya maana hata kuyasoma ni mbinde!! so sad!
Hapa ni mwendo wa like bibie[emoji12] [emoji12] [emoji12]