Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

mods naombeni muufunge uzi huu maana hauna la maana sana ila sivi page ya 560 jana tuu! zipo thread za maana lakin coment hata mia hamna? watanzania kweli mambo ya ujinga ndio tunayoyapenda ila ya maana hata kuyasoma ni mbinde!! so sad!
Ni mtazamo wako tu mkuu.

Kuna forum nyingi pamoja category zake nyingi.

Jamiiforums inawigo mpana we chagua wapi ambapo ni pazuri kuchangia mkuu.

Sio kila mtu anaeingia humu jf kwa lengo la kuchangia mada moto moto.
Wengine wanaingia kurefresh kutokana na shughuli za hapa na pale.


Karibu tena mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…